Unadhani Marekani ya leo ndiyo ile tuliyoijua?

Joshua justine

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
792
1,007
Nyakati zimebadirika sana , kwa wale wanaojua siri za ndani ni uongo kuwa Marekani kwa sasa ina chochote kwa ajili ya Afrika, kama ilikuwa inachukua kwa kunyonya namna ile miaka yote wakati bado ipo vizuri kiuchumi je sasa hivi itachukua kwa namna gani, haina lolote ndio maana viongozi wote Afrika wameshapondea huo upuuzi wa ujio ujio wa hao watu wao,

 
Hata ile tuliyoijua ilikua hivyo.

Kwani ni wakati gani haikuwahi kuwa hivyo?

Drug addicts, asylym seekers, aliens, waharifu mbalimbali ambao walipofungwa na kuachiwa either baada ya kufilisiwa na vinginevyo wakajukuta ni homeless.

Kuna Wanajeshi wanaorudi kutoka different missions overseas (vitani), hao huwa wakirudi halafu ikatokea wame act violently kwa familia zao, huwa ni moja kwa moja hujikuta wameachwa homeless.

Kwa aina hiyo ya nchi ambayo inahamiwa zaidi duniani kuliko nchi nyingine ni kitu cha kawaida sana kukuta watu wakiishi maisha hayo.
 
Hata ile tuliyoijua ilikua hivyo.

Kwani ni wakati gani haikuwahi kuwa hivyo?

Drug addicts, asylym seekers, aliens, waharifu mbalimbali ambao walipofungwa na kuachiwa either baada ya kufilisiwa na vinginevyo wakajukuta ni homeless.

Kuna Wanajeshi wanaorudi kutoka different missions overseas (vitani), hao huwa wakirudi halafu ikatokea wame act violently kwa familia zao, huwa ni moja kwa moja hujikuta wameachwa homeless.

Kwa aina hiyo ya nchi ambayo inahamiwa zaidi duniani kuliko nchi nyingine ni kitu cha kawaida sana kukuta watu wakiishi maisha hayo.
Wazungu wanapitia wakati mgumu sana. Nasikia Trump aliwasaidia sana na Drug addiction.
 
USA sio Tanzania braza elewa, hivi wewe shule ulienda kusomea ujinga au tu akili zako ndo zimedumaa?

USA ni nchi ambayo inapokea wakimbizi wengi zaidi wanaotafuta hifadhi duniani elewa.

Kwahiyo wote hao wajengewe magorofa yao huko et. Kila race ni USA na sio Russia, China, Iran, etc but ni USA why this eb uje najibu basi ok

Miafrika bwana et anakunyonya, unanyonywa nini? Kwani USA ndo wamekuwekea tozo za ovyo ovyo hapa? Akili za muafrika ni sawa na za nyani aise.
 
USA sio Tanzania braza elewa, hivi wewe shule ulienda kusomea ujinga au tu akili zako ndo zimedumaa?

USA ni nchi ambayo inapokea wakimbizi wengi zaidi wanaotafuta hifadhi duniani elewa.

Kwahiyo wote hao wajengewe magorofa yao huko et. Kila race ni USA na sio Russia, China, Iran, etc but ni USA why this eb uje najibu basi ok

Miafrika bwana et anakunyonya, unanyonywa nini? Kwani USA ndo wamekuwekea tozo za ovyo ovyo hapa? Akili za muafrika ni sawa na za nyani aise.
Tatizo lako wewe ni miongoni mlioenda kufadhiliwa mpaka matakoni huko marekani kwahiyo unadhani kila mtu ana akili za kishoga kama wewe,
Ungekuwa una elimu hata kidogo tu ungeanalyse content ya hiyo video ungejijibu mwenyewe bila kusumbua mtu humu mbwa wewe.
Maana hao wanaohojiwa mitaani wala sio wahamiaji ni wazawa haswa hilo la kwanza, pili kuna research zinaonesha percentage ya jambo hilo jinsi lilivyoongezeka within this last decade baada ya hela nyingi kupotea kule afghanistan, iraq na kwingineko ambako plan za marekani hazija faulu kurudisha faida kama ilivyotarajiwa.
Halafu kwakuwa weee mbwakoko huna shule , nikupe assignment ujitafitie gharama ya gari moja la kivita, kifaru, bomu na cost ya kurusha ndege za kijeshihewani kwa masaa kumi ndipo ukijua uje uongee na watu wazima hapa maana hujui hata vita vya kipumbavu vinawafilisi kiasi gani marekani japo wanaonekana wanajitutumua kwa kuweka millitary base karibu 750 duniani kote, unalijua hilo panya mdogo wewe,
Nyie ndio mnaodanganywa na propaganda za kujisifia za vyombo vya habari basi mnajua marekani ni superpower forever na haiwezi kufilisika, kunafactor zikitokea kingdom hedgemony inacollapse hiyo ni kawaida kabisa historically , walikuwepo waingereza , kabla yao walikuwepo wengine , na sasa mchina ndio anatakeover, umeelewa mbwa koko wewe na elimu yako ya kuf*r*wa, kunguni wewe,

Siku nyingine usitukane watu ukiona wamemsema basha wako, utasababisha siri zako zivuje kila mtu atajua kuwa unaf*r*wa marekani, mbwa wewe, unaweza ukajadili kwa hoja tu kama ungekuwa una marinda mbwa wewe kwani mmarekani akisemwa we kinakuwasha nn,
 
Tatizo lako wewe ni miongoni mlioenda kufadhiliwa mpaka matakoni huko marekani kwahiyo unadhani kila mtu ana akili za kishoga kama wewe,
Ungekuwa una elimu hata kidogo tu ungeanalyse content ya hiyo video ungejijibu mwenyewe bila kusumbua mtu humu mbwa wewe.
Maana hao wanaohojiwa mitaani wala sio wahamiaji ni wazawa haswa hilo la kwanza, pili kuna research zinaonesha percentage ya jambo hilo jinsi lilivyoongezeka within this last decade baada ya hela nyingi kupotea kule afghanistan, iraq na kwingineko ambako plan za marekani hazija faulu kurudisha faida kama ilivyotarajiwa.
Halafu kwakuwa weee mbwakoko huna shule , nikupe assignment ujitafitie gharama ya gari moja la kivita, kifaru, bomu na cost ya kurusha ndege za kijeshihewani kwa masaa kumi ndipo ukijua uje uongee na watu wazima hapa maana hujui hata vita vya kipumbavu vinawafilisi kiasi gani marekani japo wanaonekana wanajitutumua kwa kuweka millitary base karibu 750 duniani kote, unalijua hilo panya mdogo wewe,
Nyie ndio mnaodanganywa na propaganda za kujisifia za vyombo vya habari basi mnajua marekani ni superpower forever na haiwezi kufilisika, kunafactor zikitokea kingdom hedgemony inacollapse hiyo ni kawaida kabisa historically , walikuwepo waingereza , kabla yao walikuwepo wengine , na sasa mchina ndio anatakeover, umeelewa mbwa koko wewe na elimu yako ya kuf*r*wa, kunguni wewe,

Siku nyingine usitukane watu ukiona wamemsema basha wako, utasababisha siri zako zivuje kila mtu atajua kuwa unaf*r*wa marekani, mbwa wewe, unaweza ukajadili kwa hoja tu kama ungekuwa una marinda mbwa wewe kwani mmarekani akisemwa we kinakuwasha nn,
Mkuu..inawezekana ukawa sahihi,ila ungepunguza ukali wa manemo kidogo!!utanisamehee km ntakuwa nimekukwaza.
 
Mkuu..inawezekana ukawa sahihi,ila ungepunguza ukali wa manemo kidogo!!utanisamehee km ntakuwa nimekukwaza.
Upo sawa, ila jamaa kaleta dharau, ni mara kumi mtu akwambie tusi kuliko kukwambia huna akili, haya ni mambo yanatokea ulimwenguni mbele huko , ss wote ni watazamaji , inamuuma nn mtu wa Tz mambo ya wamarekani, angejadili tu,
 
USA sio Tanzania braza elewa, hivi wewe shule ulienda kusomea ujinga au tu akili zako ndo zimedumaa?

USA ni nchi ambayo inapokea wakimbizi wengi zaidi wanaotafuta hifadhi duniani elewa.

Kwahiyo wote hao wajengewe magorofa yao huko et. Kila race ni USA na sio Russia, China, Iran, etc but ni USA why this eb uje najibu basi ok

Miafrika bwana et anakunyonya, unanyonywa nini? Kwani USA ndo wamekuwekea tozo za ovyo ovyo hapa? Akili za muafrika ni sawa na za nyani aise.
Nchi ina Tozo balaa jana mi naitambua kama Tozo Republic...
 
Marekani ni Ileile ndio unaingia twitter kwa saver zao sio za Russia wala China na wakizima tu utahaha! Na ikibadilika USA vidonge vya ngoma havitaletwa dada zako watapukutika wote
 
USA sio Tanzania braza elewa, hivi wewe shule ulienda kusomea ujinga au tu akili zako ndo zimedumaa?

USA ni nchi ambayo inapokea wakimbizi wengi zaidi wanaotafuta hifadhi duniani elewa.

Kwahiyo wote hao wajengewe magorofa yao huko et. Kila race ni USA na sio Russia, China, Iran, etc but ni USA why this eb uje najibu basi ok

Miafrika bwana et anakunyonya, unanyonywa nini? Kwani USA ndo wamekuwekea tozo za ovyo ovyo hapa? Akili za muafrika ni sawa na za nyani aise.
Ungebold maandishi kabisa. Sijui US inahusika vipi wizi wa mali za umma, Ufisadi wa kutisha, kuuana n.k

Akili z mwafrika ni hovyo tu miaka yote.
 
Ungebold maandishi kabisa. Sijui US inahusika vipi wizi wa mali za umma, Ufisadi wa kutisha, kuuana n.k

Akili z mwafrika ni hovyo tu miaka yote.
angalia hadhina ya dhahabu ya marekani katk central bank yao mwaka hadi mwaka hio dhababu ni kweli wanaipata kwa uhalali makampuni mengi ya madin na Sera mbovu za wawekezaji wa nje zinatugharimu

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lako wewe ni miongoni mlioenda kufadhiliwa mpaka matakoni huko marekani kwahiyo unadhani kila mtu ana akili za kishoga kama wewe,
Ungekuwa una elimu hata kidogo tu ungeanalyse content ya hiyo video ungejijibu mwenyewe bila kusumbua mtu humu mbwa wewe.
Maana hao wanaohojiwa mitaani wala sio wahamiaji ni wazawa haswa hilo la kwanza, pili kuna research zinaonesha percentage ya jambo hilo jinsi lilivyoongezeka within this last decade baada ya hela nyingi kupotea kule afghanistan, iraq na kwingineko ambako plan za marekani hazija faulu kurudisha faida kama ilivyotarajiwa.
Halafu kwakuwa weee mbwakoko huna shule , nikupe assignment ujitafitie gharama ya gari moja la kivita, kifaru, bomu na cost ya kurusha ndege za kijeshihewani kwa masaa kumi ndipo ukijua uje uongee na watu wazima hapa maana hujui hata vita vya kipumbavu vinawafilisi kiasi gani marekani japo wanaonekana wanajitutumua kwa kuweka millitary base karibu 750 duniani kote, unalijua hilo panya mdogo wewe,
Nyie ndio mnaodanganywa na propaganda za kujisifia za vyombo vya habari basi mnajua marekani ni superpower forever na haiwezi kufilisika, kunafactor zikitokea kingdom hedgemony inacollapse hiyo ni kawaida kabisa historically , walikuwepo waingereza , kabla yao walikuwepo wengine , na sasa mchina ndio anatakeover, umeelewa mbwa koko wewe na elimu yako ya kuf*r*wa, kunguni wewe,

Siku nyingine usitukane watu ukiona wamemsema basha wako, utasababisha siri zako zivuje kila mtu atajua kuwa unaf*r*wa marekani, mbwa wewe, unaweza ukajadili kwa hoja tu kama ungekuwa una marinda mbwa wewe kwani mmarekani akisemwa we kinakuwasha nn,
.
JamiiForums-2066617636.jpg
 
angalia hadhina ya dhahabu ya marekani katk central bank yao mwaka hadi mwaka hio dhababu ni kweli wanaipata kwa uhalali makampuni mengi ya madin na Sera mbovu za wawekezaji wa nje zinatugharimu

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Mkuu kuna mtu anakudanganya kuwa sisi Tanzania tunazalisha dhahabu kwa wingi kuliko Marekani? Hizi vi technolojia uchara tunazotumia za kuozesha na kukamatia dhahabu zilitumika USA miaka 1970.

Jamaa walichimba madini pakubwa sana, Afrika kusini ndo bado imebaki na mikanda mirefu ya madini aina ya dhahabu lakini bila mitaji na teknolojia uwezi kuchimba madini.
Ebu fikiria dhahabu inachimbwa umbali wa 38km alafu useme unaibiwa.

Wekezeni kwenye elimu bado Tuna sehemu kubwa sana ya kufanya tafiti na kupata pesa...Milima ya mawe bado yamejaa Mwanza lakini bado hatujaona faida ili kujenga hoja zianze kugombaniwa kama madini ya dhahabu.
 
Kujitoa ufahamu ni kubaya sana. Hapo ukimwambia achague nchi moja ya kutembelea duniani utamskia anataja USA.
Kwa mtu mwenye pesa zake na anayejua maana ya kupumzika baada ya pilika za utafutaji hawezi kupanga kwenda kutembelea au kwenda likizo (vacationing) Marekani
 
Back
Top Bottom