Unadhani kwanini kesi ya Ugaid ya Mbowe inasimamishwa simamishwa na Jaji kwa ajili ya kwenda kujiridhisha?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Leo kesi imechelewa kuanza na pamoja na kuchelewa kuanza Jaji anaomba dakika 15 akajiridhishe na kutoa maamuzi baada ya utetezi kukataa kuhojiana na shahidi wa kwanza, lakini pia watuhumiwa kusema hawana cha kumhoji shahidi wa kwanza. Je, nilazima kuhojiana hata kama mtuhumiwa haoni sababu? Je, timu inapogawanyika mahakamani nakugawana watuhumiwa Kuna hoja ya kisheria hapo yakuomba kwenda kujiridhisha?

Wakati huo huo wakili Kibatala amedokeza kwamba kabla kesi kuanza walikaa na Jaji baada ya kuombwa waishauri mahakama namna yakwenda mbele baada ya makosa kufanyika tarehe 15/09/2021 ushahidi ulipoanza kutolewa.

Ukiangalia mahakama za wenzetu hii michezo haionekani Sana na majaji ufika wakiwa na nondo zote na pale anapoona kuna Jambo Lina utata uhojiana na Mawakili wa pande mbili kwa muda flani na kufanya maamuzi yanayotokana na uzoefu wa pande zote mbili badala yakwenda kujifungia.

Uzoefu unaonyeshaje?
 
Leo kesi imechelewa kuanza na pamoja na kuchelewa kuanza Jaji anaomba dakika 15 akajiridhishe na kutoa maamuzi baada ya utetezi kukataa kuhojiana na shahidi wa kwanza, lakini pia watuhumiwa kusema hawana Cha kumhoji shahidi wa kwanza.

Sijaelewa. Ina maana Jaji alitaka ajue sababu za kwanini upande wa utetezi [kina Kibatala na wenzake] hawajafanya cross examination questions kwa shahidi No. 1 Kingai..? Kama ndivyo, basi kumbe ni kweli Jaji yeyote ktk kesi hii atakuwa wa kimkakati...!
Je nilazima kuhojiana hata kama mtuhumiwa haoni sababu? Je, timu inapogawanyika mahakamani nakugawana watuhumiwa Kuna hoja ya kisheria hapo yakuomba kwenda kujiridhisha?

Lipo jambo kwa Jaji huyu. Ni Jaji wa kimkakakti pia. Au la ndiyo majaji wanaosemwa na Tundu Lissu kuwa ni weupe, hawajui sheria. Na kesi hii ni ngumu kwelikweli...!
Wakati huo huo wakili Kibatala amedokeza kwamba kabla kesi kuanza walikaa na Jaji baada ya kuombwa waishauri mahakama namna yakwenda mbele baada ya makosa kufanyika tarehe 15/09/2021 ushahidi ulipoanza kutolewa.

Makosa gani yalifanyika? Yalifanywa na nani..? Yeye Jaji na mahakama? Who..?
Ukiangalia mahakama za wenzetu hii michezo haionekani Sana na majaji ufika wakiwa na nondo zote na pale anapoona kuna Jambo Lina utata uhojiana na Mawakili wa pande mbili kwa muda flani na kufanya maamuzi yanayotokana na uzoefu wa pande zote mbili badala yakwenda kujifungia.

Hawa ndiyo Majaji wa ki - Magufuli. Majaji wa mkakati. Majaji wa kukusanya mapato kwa pre bargain...
Uzoefu unaonyeshaje?
Business as usual...
 
Leo kesi imechelewa kuanza na pamoja na kuchelewa kuanza Jaji anaomba dakika 15 akajiridhishe na kutoa maamuzi baada ya utetezi kukataa kuhojiana na shahidi wa kwanza, lakini pia watuhumiwa kusema hawana Cha kumhoji shahidi wa kwanza. Je nilazima kuhojiana hata kama mtuhumiwa haoni sababu? Je, timu inapogawanyika mahakamani nakugawana watuhumiwa Kuna hoja ya kisheria hapo yakuomba kwenda kujiridhisha?

Wakati huo huo wakili Kibatala amedokeza kwamba kabla kesi kuanza walikaa na Jaji baada ya kuombwa waishauri mahakama namna yakwenda mbele baada ya makosa kufanyika tarehe 15/09/2021 ushahidi ulipoanza kutolewa. Ukiangalia mahakama za wenzetu hii michezo haionekani Sana na majaji ufika wakiwa na nondo zote na pale anapoona kuna Jambo Lina utata uhojiana na Mawakili wa pande mbili kwa muda flani na kufanya maamuzi yanayotokana na uzoefu wa pande zote mbili badala yakwenda kujifungia.

Uzoefu unaonyeshaje?
Jamhuri huwa inateseka sana inapokuja suala la kutenda haki.
 
Hilo la Jaji Kutoka kwenda kujiridhisha, primarily Ni kutokana na pressure ya kesi yenyewe na Jaji anajua kilichonyuma ya pazia. So ni lazima mwenyewe ajiweke katika safe side.

Amini usiamini, kesi nyingi za Tanzania zingekuwa zinafanyiwa ukaguzi na chombo huru zingetupwa nyingi mno. Wewe kaangalie mfano kesi ya ADO SHAIBU VS MAGUFULI, iliyoamuliwa na HC (Feleshi J), Ni kichekesho.

Kesi haziamuliwi kwa haki bali vipingamizi vidogodogo vya kipuuzi ili kuilinda dola. Mahakama zetu zinapoteza heshima kwa kukumbatia siasa.

Haswa kipindi Cha awamu ya tano, majaji wetu wengi waliwekwa mfukoni mwa mungu mtu mmoja to the detriment of the Long built Reputation of Judiciary.

Jiulize kwa mfano, uchaguzi wa mwaka 2020, uliokuwa mbovu kulko zote, ulimwona Nani akienda Mahakamani? Unadhani Ni kwa Nini? NO CONFIDENCE na Mahakama zetu.

All in all tumtakie Jaji huyu Kila heri.
 
Hilo la Jaji Kutoka kwenda kujiridhisha, primarily Ni kutokana na pressure ya kesi yenyewe na Jaji anajua kilichonyuma ya pazia. So ni lazima mwenyewe ajiweke katika safe side.

Amini usiamini, kesi nyingi za Tanzania zingekuwa zinafanyiwa ukaguzi na chombo huru zingetupwa nyingi mno. Wewe kaangalie mfano kesi ya ADO SHAIBU VS MAGUFULI, iliyoamuliwa na HC (Feleshi J), Ni kichekesho.

Kesi haziamuliwi kwa haki bali vipingamizi vidogodogo vya kipuuzi ili kuilinda dola. Mahakama zetu zinapoteza heshima kwa kukumbatia siasa.

Haswa kipindi Cha awamu ya tano, majaji wetu wengi waliwekwa mfukoni mwa mungu mtu mmoja to the detriment of the Long built Reputation of Judiciary.

Jiulize kwa mfano, uchaguzi wa mwaka 2020, uliokuwa mbovu kulko zote, ulimwona Nani akienda Mahakamani? Unadhani Ni kwa Nini? NO CONFIDENCE na Mahakama zetu.

All in all tumtakie Jaji huyu Kila heri.
Umenena ukweli 100%.
 
Back
Top Bottom