Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,021 94,074 Sep 5, 2012 #1 Fuatilia mtiririko huu wa habari picha Attachments image001.jpg 69.5 KB · Views: 204 image002.jpg 143.7 KB · Views: 211 image003.jpg 84 KB · Views: 199 image004.jpg 96 KB · Views: 201 image005.jpg 74.7 KB · Views: 196 image006.jpg 79.8 KB · Views: 195 image007.jpg 86 KB · Views: 193 image008.jpg 84.4 KB · Views: 206 image009.jpg 130 KB · Views: 194
Madame B JF-Expert Member Apr 9, 2012 29,980 32,287 Sep 5, 2012 #2 Halafu baada ya hapo nguvu na hasira zote mlizotumia hapo mnazimalizia kwetu night.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,021 94,074 Sep 5, 2012 Thread starter #3 Madame B said: Halafu baada ya hapo nguvu na hasira zote mlizotumia hapo mnazimalizia kwetu night. Click to expand... Madame B...hakuna raha kama kupewa huduma murua na mama watoto Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Madame B said: Halafu baada ya hapo nguvu na hasira zote mlizotumia hapo mnazimalizia kwetu night. Click to expand... Madame B...hakuna raha kama kupewa huduma murua na mama watoto
Madame B JF-Expert Member Apr 9, 2012 29,980 32,287 Sep 5, 2012 #4 watu8 said: Madame B...hakuna raha kama kupewa huduma murua na mama watoto Click to expand... Siku hz mnakomoa sasa. Usiku kucha,kisa umeonitolea Mahari!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
watu8 said: Madame B...hakuna raha kama kupewa huduma murua na mama watoto Click to expand... Siku hz mnakomoa sasa. Usiku kucha,kisa umeonitolea Mahari!!
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,021 94,074 Sep 5, 2012 Thread starter #5 Madame B said: Siku hz mnakomoa sasa. Usiku kucha,kisa umeonitolea Mahari!! Click to expand... shukuru hata huyo unayesema anakukomoa...wenzako wanalia mzee miezi sita hajamgusa katu
Madame B said: Siku hz mnakomoa sasa. Usiku kucha,kisa umeonitolea Mahari!! Click to expand... shukuru hata huyo unayesema anakukomoa...wenzako wanalia mzee miezi sita hajamgusa katu
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,212 42,075 Sep 5, 2012 #7 Hahahahahahaha Madame B said: Halafu baada ya hapo nguvu na hasira zote mlizotumia hapo mnazimalizia kwetu night. Click to expand...
Hahahahahahaha Madame B said: Halafu baada ya hapo nguvu na hasira zote mlizotumia hapo mnazimalizia kwetu night. Click to expand...
CUTE JF-Expert Member Mar 5, 2012 1,230 591 Sep 5, 2012 #8 watu8 said: shukuru hata huyo unayesema anakukomoa...wenzako wanalia mzee miezi sita hajamgusa katu Click to expand... mkuu watu8 umeona mbali sana mana kuna jirani alienda kumshtaki mumewe hajampatia nilishangaa sana nikasema kumbe ukinyimwa basi unaenda kusema
watu8 said: shukuru hata huyo unayesema anakukomoa...wenzako wanalia mzee miezi sita hajamgusa katu Click to expand... mkuu watu8 umeona mbali sana mana kuna jirani alienda kumshtaki mumewe hajampatia nilishangaa sana nikasema kumbe ukinyimwa basi unaenda kusema
CUTE JF-Expert Member Mar 5, 2012 1,230 591 Sep 5, 2012 #9 ila iyo kazi khaa! hatari sana ila sio hatar sana kama ile ingine
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Sep 3, 2010 7,639 4,527 Sep 5, 2012 #10 Sasa hapo wanaenda kumla au..??
Madame B JF-Expert Member Apr 9, 2012 29,980 32,287 Sep 5, 2012 #11 St. Paka Mweusi said: Sasa hapo wanaenda kumla au..?? Click to expand... Mdharau kwao Mtumwa. Kitu na nyanyachungu na bamia we,hlo rojo lake,ucpme.
St. Paka Mweusi said: Sasa hapo wanaenda kumla au..?? Click to expand... Mdharau kwao Mtumwa. Kitu na nyanyachungu na bamia we,hlo rojo lake,ucpme.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,021 94,074 Sep 5, 2012 Thread starter #12 St. Paka Mweusi said: Sasa hapo wanaenda kumla au..?? Click to expand... mkuu watu wanakula paka sembuse huyo chatu...huyo kitoweo ladha yake kama kambale vile, halafu hapo hakipotei kitu,ngozi ikichunwa inawambwa ngoma,meno yanatengeneza shanga
St. Paka Mweusi said: Sasa hapo wanaenda kumla au..?? Click to expand... mkuu watu wanakula paka sembuse huyo chatu...huyo kitoweo ladha yake kama kambale vile, halafu hapo hakipotei kitu,ngozi ikichunwa inawambwa ngoma,meno yanatengeneza shanga
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,021 94,074 Sep 5, 2012 Thread starter #13 CUTE said: mkuu watu8 umeona mbali sana mana kuna jirani alienda kumshtaki mumewe hajampatia nilishangaa sana nikasema kumbe ukinyimwa basi unaenda kusema Click to expand... Yaani bila unyumba ndoa lazima itetereke...
CUTE said: mkuu watu8 umeona mbali sana mana kuna jirani alienda kumshtaki mumewe hajampatia nilishangaa sana nikasema kumbe ukinyimwa basi unaenda kusema Click to expand... Yaani bila unyumba ndoa lazima itetereke...
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Sep 5, 2012 #14 CUTE said: mkuu watu8 umeona mbali sana mana kuna jirani alienda kumshtaki mumewe hajampatia nilishangaa sana nikasema kumbe ukinyimwa basi unaenda kusema Click to expand... Inabidi tuwe na huruma na majirani tuwasaidie kupunguza mashtaka
CUTE said: mkuu watu8 umeona mbali sana mana kuna jirani alienda kumshtaki mumewe hajampatia nilishangaa sana nikasema kumbe ukinyimwa basi unaenda kusema Click to expand... Inabidi tuwe na huruma na majirani tuwasaidie kupunguza mashtaka