Unadhani kazi unayoifanya ni ngumu sana....ona hii!!!

Watu8

Platinum Member
Feb 19, 2010
70,499
92,317
Fuatilia mtiririko huu wa habari picha

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • image001.jpg
    image001.jpg
    69.5 KB · Views: 204
  • image002.jpg
    image002.jpg
    143.7 KB · Views: 211
  • image003.jpg
    image003.jpg
    84 KB · Views: 199
  • image004.jpg
    image004.jpg
    96 KB · Views: 201
  • image005.jpg
    image005.jpg
    74.7 KB · Views: 196
  • image006.jpg
    image006.jpg
    79.8 KB · Views: 195
  • image007.jpg
    image007.jpg
    86 KB · Views: 193
  • image008.jpg
    image008.jpg
    84.4 KB · Views: 206
  • image009.jpg
    image009.jpg
    130 KB · Views: 194
shukuru hata huyo unayesema anakukomoa...wenzako wanalia mzee miezi sita hajamgusa katu
mkuu watu8 umeona mbali sana mana kuna jirani alienda kumshtaki mumewe hajampatia nilishangaa sana nikasema kumbe ukinyimwa basi unaenda kusema
 
ila iyo kazi khaa! hatari sana ila sio hatar sana kama ile ingine
 
Sasa hapo wanaenda kumla au..??

mkuu watu wanakula paka sembuse huyo chatu...huyo kitoweo ladha yake kama kambale vile, halafu hapo hakipotei kitu,ngozi ikichunwa inawambwa ngoma,meno yanatengeneza shanga
 
mkuu watu8 umeona mbali sana mana kuna jirani alienda kumshtaki mumewe hajampatia nilishangaa sana nikasema kumbe ukinyimwa basi unaenda kusema

Yaani bila unyumba ndoa lazima itetereke...
 
mkuu watu8 umeona mbali sana mana kuna jirani alienda kumshtaki mumewe hajampatia nilishangaa sana nikasema kumbe ukinyimwa basi unaenda kusema

Inabidi tuwe na huruma na majirani tuwasaidie kupunguza mashtaka
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom