Unabii wa Nyerere umetimia Sudani

Unabii wa Nyerere umetimia Sudani

I think you are missing the point here

kuwe na udini au la, siendi huko

Ila naomba niambie kuna Muungano wowote wa Unguja na Pemba?? kutoka pemba kuja Tanzania ni karibu zaidi kuliko Pemba kwenda unguja,

kwa nini Unguja na pemba ni nchi moja? kipi kilitokea??

mwisho wenyeji wa Unguja na pemba origin yao ni wapi??

nakusaidia uishtuke

ni bara

Origin tena!!!

Kumbe na mimi origin yangu Bara!!. AuthuBillah min dhalika

Pole sana,
 
Tanganyika tutabaki wamoja kwani hakuna wasioutaka muungano, Muungano ukivunjika tutabaki tumeduwaa na hii itatufanya tuwe wamoja.

Kumbuka kuwa kama ulipandwa na sasa ndio hivyo umemea vizuri sana. Sasa Tanganyika nje ya muungano mnalitazamaje hilo?

Kumbuka kuwa KIJIWE KIDOGO NDICHO KINACHOUA NDEGE. Mmejipangaje?

 
Huwezi kufananisha Mungano wa Zanzibar na Tanganyika na Sudan,kumbuka Zanzibar na Tanganyika zilikuwa ni nchi huru zilizoamua kuungana kisiasa.

Sudan ilikuwa nchi moja iliyoamua kujigawa kisiasa,hii yote ni kutokana na ubadhilifu wa upande mmoja wa sudan ya warabu kuwabagua na kuwanyanyasa wenzao wa kusini Dinka na Nuer., ndio maana wasudani wakusini wakaamua kujitenga na wenzao wa kaskazini

Mungano wa Tanganyika na Zanzbar baada ya upande mmoja wa mungano kujifanya wanaume na upande wa pili kufanywa wanawake ndio maana upande wa wanawake(zanziabar) wameamua kujitoa kwenye ndoa ya muungano

Hiyo ni mifano ilioyofanana lakini iko tafauti.tafakari

Mbegu za kujitenga kote South Sudan na Zanzibar zilianza kuota pale wote wawili walipokuwa hawatendewi haki na wenzi wao!! Upande wa Zanzibar pale katiba ilipobadilishwa na kumuondoa kiongozi wa Zanzibar kuwa makamu wa Rais wa Muungano hapo ndipo wazenj walipoanza fukuto la kutaka mamlaka yao kwani kiongozi wao alikwa hata kwenye Cabinet anaingia kama mualikwa!!! Laiti kama wazenj wangehusishwa zaidi kwenye serikali ya muungano vuguvugu la kujitenga lisingekuwepo na badala yake muungano ungeimalika zaidi.
 
Mtu akiongea kidogo kuhusu muungano mnakimbilia kuua uislam binadamu aue uislamu kwani sio dini ya mwenyezi Mungu!
 
Mtu akiongea kidogo kuhusu muungano mnakimbilia kuua uislam binadamu aue uislamu kwani sio dini ya mwenyezi Mungu!
Sasa hivi hata Kaaba huko Saudi Arabia inalindwa na Wamarekani (wala nguruwe) maana mfalme wa Saudi (Abdallah) anategemea ulinzi wa Marekani, sasa iweje Zanzibar Ukristo uchukiwe? Waunguja nendeni shule dunia kwa sana na shule akhera kidogo tu kiasi cha mboga maana dunia inabadilika mbio kuelekea sayansi sio ile dunia ya fungeni kwa kuuona mwezi tena.
 
Sasa hivi hata Kaaba huko Saudi Arabia inalindwa na Wamarekani (wala nguruwe) maana mfalme wa Saudi (Abdallah) anategemea ulinzi wa Marekani, sasa iweje Zanzibar Ukristo uchukiwe? Waunguja nendeni shule dunia kwa sana na shule akhera kidogo tu kiasi cha mboga maana dunia inabadilika mbio kuelekea sayansi sio ile dunia ya fungeni kwa kuuona mwezi tena.


Je una uhakika na unachokinena? Ni Kweli Mecca na madna zinalindwa na Marekani? Unaweza tuthibitishia hilo kama hu msema kweli?

Kwa kukusaidia tu kumbuka kuwa Znz ni nchi ndogo sana yenye watu wasiozidi milioni moja na nusu LAKIN INA UNIVERSITY SITA kwa mwaka wanatoa zaidi ya zaidi ya wahitimu 12,000 . Na karibu 65% wa wanafunzi wa University hizo ni wale wa kutoka Znz.

Sasa ukijumlisha na wale wanafunzi waliovuka maji kuja kusomea upande wa Tanganyika UTAGUNDUA ZNZ INA WASOMI WENGI SANA KWA LEVEL YA GRADUATE KULIKO TANGANYIKA kama utalitazama hili kwa ulinganifu wa idadi ya watu wa nchi husika. (Fanya home work hii utagundua. Hint. Tanganyika ina watu zaidi ya 45 Million) Angalia ni % ngapi wanagraduate kwa mwaka ulinganishe na Znz.

fanya utafiti kidogo utapata jibu badala ya kuandika kwa hisia.
 
na wewe na huyo nabii wako wa uongo....si huyo nyerere aki support hiyo sudan ijitenge?
Si yeye akisaidia kwa mafunzo?
Garang alikua hapa akisoma na kupata misaada....yote ni udini tuuuu
na anayo zungumzia nyerere kuhusu zanzibar ni udini pia haoni raha kuona waislam kule visiwani wakijitawala....walitawaliwa ...lakini ana ndoto ya kuwatawala ili kuhujumu uislamu

kwani kabla ya huu muungano si ilikuwapo zanzibar tena kubwa zaidi,

maneno ya nyerere ni ya unafiki na fikra za kikoloni..wagawe uwatawale....hii ndio falsafa yake kwa visiwa vile huu ni ukweli hata kiama...yule mzeee alikua ana chuki hasa na waislam wa zanzibar .
1995 nyerere alikuwepo akimpgia kampeni mkapa....alizunguka nchi nzima mpaka kapata ugonjwa ulomuondoa.
Kule zanzibar chama chake kilikua na hali ngumu...na matokeo rasmi ya wasimamizi ni kuwa ccm ilishindwa....CCM IKAPEWA USHINDI WA CHUMBANI tena kwa amri ya siri ya ccm na nyerere alukuwapo na anayajua haya,
mgogoro ukaibuka....watu wakatiwa misuko suko, walitiwa ndani na polisi walifanya uovu mbele ya camera za tv..nyerere yupo macho ..kama alikanyaga zanzibar mpaka amekufa....
Nyerere hakua na nia njema na zanzibar hata kidogo...aliacha ugomvi ule yeye akisulihisha migogoro ya watusi wenzake....zanzibar haikumhangaisha......zaidi ya kutoa matamko kama hayo ya kuwagawa.....alisema wazi kabla ya uhuru kuwa laiti angekuwa na uwezo basi angevi sokomeza mbali baharini visiwa hivi na kuvifukia...huyo ndio nyerere na zanzibar...
Wadanganye watoto na wanywa maji ya kijani

Well said mimi ni mtanganyika ila mineno yako mwana ya ukweli Zanzibar ilikuwa ni nchi huru nyerere akamdanganya karume akaichukua zenj kiwepeci mpka leo rais wa nchi yenu anaamuliwa dodoma Tanganyika
 
Back
Top Bottom