Unaanzaje kumpenda!?

Unaanzaje kumpenda!?

Naanza kumtamani....... Namwambia nampenda ili akubali coz nikimwambia namtaman atatoka nduki
 
Humjui hakujui, si rafiki wala si jamaa, ndio mara ya kwanza kumuona isitoshe kila mmoja na safari yake, unaanzaje kumpenda!?
Sura, mavazi, kuongea, body language, kimo, umbile etc hivi vyote au baadhi ndo vinamfanya MTU ampende mwingine bila kumfahamu....

By the way, ukikiona unasubiri umfahamu ndiyo umpende, UJUWE ULISHAMPENDA, kumfahamu kwanza UNATAFUTA USHAHIDI TU wa ku-justify kumpenda kwako
 
Uko dunia hii? Ulipotea jukwaa hili nikadhani unavyopendaga wake za watu ulishikwaga ugoni[emoji3] wakakurestisha in peace[emoji16][emoji16][emoji16]

Kidding.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mi nipo bwana, sema majukumu yamekuwa mengi, kwani na wewe ni mke wa mtu ili nianze kukupenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mi nipo bwana, sema majukumu yamekuwa mengi, kwani na wewe ni mke wa mtu ili nianze kukupenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utavunjwa miguu wewe endelea na wengine
 
Back
Top Bottom