Fimbo ya mbali....
Mimi na baby wangu tuna namna yetu, yes tuko mbali mbali ila kinachotuweka karibu mara zote ni nyoyo zetu na nafsi....our souls match and connect even when we are not communicating to each other.
Love you so much Dadii, you are my man to and from the moon.
Yaani sisikii, nikiwa nae sioniii, juu yake sihofuuu... Hata niambiwe lolote baya juu yake, sielewiii. Ameniloki kwenye loki zote mapenzi yake sichomoiiii aahahahahhaaa.
Ngoja nikamuanzishie uzi.
Kasinde Matata.