Una tatizo la panya nyumbani kwako? Dawa hii hapa

Hahahah..! Waafrica bwana tunapenda mteremko kweli haswa..!
 
Hujawahi pata mziki wa panya wewe, hapa penyewe amekatiza mbele yangu....nilitamani nimbonde na simu sema nikaacha...
Nadhani hukuelewa comment yangu. Nilikuwa namaanisha kuwa panya ni wasumbufu sana hadi Great Thinkers wanajadili usumbufu wao. Nikawapa shikamoo kuonyesha kwamba nawaheshimu Na kuwaogopa.
Kama hujaelewa pia usisite kutoa dukuduku lako nami nitafafanua
 

HIZOO ZOTE ZA NINI

NUNUA INDOACID PHARMACY WEKA NA SAMAKI NUNUA ZA BUKU WANAKAUKA HATA UONJI MFUPA..WASIPOISHA Nbo X NIJE WALA WATAKUWA PANYAMLAWATUU
 


Ikiwa hii dawa inauwa panya kwa muda mfupi,vipi kuhusu madhara kwa binadamu?
Ukizingatia kwamba hizi dawa asilimia kubwa hufanyiwa majaribio kwanza panya ili kuona ufanisi wake baadae huletwa kwetu.
 
Away
Hukuonaaanhilooswaa lalingine
 

Attachments

  • Screenshot_20171208-074423.png
    28.3 KB · Views: 185
  • Screenshot_20171208-074415.png
    35 KB · Views: 177
Kuna hiyo indocin, pia zipo Phentoyne na phenobabytone (sina hakika kama majina nimeandika kwa ufanisi) ni hatari sana kuua panya.
Ila ningependa kufahamu, kuku wakila samaki au dagaa wenye hizo dawa hawawezi kudhurika? Msaada tafadhali
 
ahahaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…