bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,454
- 12,661
Dawa ya nguvu za kike..!endosine ni nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ya nguvu za kike..!endosine ni nini
Hahahah..! Waafrica bwana tunapenda mteremko kweli haswa..!Hii mada imenikuta siku haswaa, leo hii siwezi kulala chumbani kwa sababu panya kafia huko na kuna harufu sana toka jioni, nafika toka kazini mke wangu ananiambia kuna harufu ya panya lakini kaangalia hajaona chochote imenibidi kulala sebuleni kwenye viti na familia ntafanyaje mie malafyale... But ntajaribu hiyo
Nadhani hukuelewa comment yangu. Nilikuwa namaanisha kuwa panya ni wasumbufu sana hadi Great Thinkers wanajadili usumbufu wao. Nikawapa shikamoo kuonyesha kwamba nawaheshimu Na kuwaogopa.Hujawahi pata mziki wa panya wewe, hapa penyewe amekatiza mbele yangu....nilitamani nimbonde na simu sema nikaacha...
Nimefurahishwa na lugha uliyoitumia. Kuvaa ujasiri wa kutafuta panya kwenye makochi.Vaa ujasiri,nenda kapangue vitanda na makochi umtoe huyo panya...ukichelewa zaidi si ndiyo anazidi kuoza mkuu?...
Kama kwako unatatizo la panya basi wala usihangaike kwenda kununua ma sumu ambayo mwisho wake panya anafia pasipojulikana na harufu ya panya aliyekufa kujaa nyumba nzima, jaribu kutengeneza mitego hii rahisi sana ambayo utawadaka wakutosha tu, Jaribu alafu uje unipe matokeo, mi nshadaka kama 8 usiku wa jana,
Ha ha mkuu panya aliyekufa siku mbili? Hiyo harufu siyo kitoto mkuu....Nimefurahishwa na lugha uliyoitumia. Kuvaa ujasiri wa kutafuta panya kwenye makochi.
Haoooo PAMBANA NA HALI YAKO TU MKUU UKIONA AWAFI HATA KWA SUMU UJUE KUNA MWENZIO UNAPAMBANA NAEHapa kwangu kuna baa la paka.....kwa anayejua dawa ya kuwatokomeza anijulishe please.....
Duh....hii Sasa balaa....juzi nilikuwa nagegeda paka likawa juu ya fensi linakula chabo...Haoooo PAMBANA NA HALI YAKO TU MKUU UKIONA AWAFI HATA KWA SUMU UJUE KUNA MWENZIO UNAPAMBANA NAE
Tumia endosine una I changanya na dagaa au Samaki Panya hatoboi
Katumwa huyooo mpwaaaq angalia zawari zenu za harusii amkukuta mauza mauza enzihizo...Duh....hii Sasa balaa....juzi nilikuwa nagegeda paka likawa juu ya fensi linakula chabo...
ahahaaaaaaNashukuru kwa hiyo information ya indocid nitaifanyia kazi.manaake mimi nilitumia trick ya kurekodi sauti za paka kwenye simu yangu waziogopa siku ya kwanza baadae wakagundua kuwa siyo paka kumbe paka akitoa sauti inakuwa kwenye frequency fulani ambazo panya wanazifahamu tofauti na zile ya kurekodiwa.
panya 8 usiku mmoja? huyu jamaa ana jeshi la panya kwake aiseeShikamoo panya,Y yaani hadi great Thinkers wanawajadili
Panya ukimkanyaga umevaa kandambili lazima akung'ateHujawahi pata mziki wa panya wewe, hapa penyewe amekatiza mbele yangu....nilitamani nimbonde na simu sema nikaacha...
ulikuwa unagegeda paka? linani likawa juu linakula chabo?Duh....hii Sasa balaa....juzi nilikuwa nagegeda paka likawa juu ya fensi linakula chabo...