Fanya umepewa siku kumi tu za kuishi duniani ndiyo ufe......
Lakini pia umepewa trillion kumi ndani ya hizo siku kumi:
na pia umepewa afya njema sana yaani ukofiti kila idara
utafanya nini.?? Ndani ya hizo siku kumi?
nitazigawa....
ntatoa rushwa trilioni tano ili nisiuliwe halafu nabaki na faida nusu!Fanya umepewa siku kumi tu za kuishi duniani ndiyo ufe......
Lakini pia umepewa trillion kumi ndani ya hizo siku kumi:
na pia umepewa afya njema sana yaani ukofiti kila idara
utafanya nini.?? Ndani ya hizo siku kumi?
Nitamrudia mungu kwanza,nitatoa mahitaji muhimu kwa familia yangu na kuwatatulia matatizo yao ,nitatoa misaada kwa watu wasiojiweza wawe yatima ,masikini n.k.nitapeleka fedha kwenye nyumba za ibada nikimaliza hapo nasubiri kufa tu
Nitamrudia mungu
kwanza,nitatoa mahitaji muhimu kwa familia yangu na kuwatatulia matatizo
yao ,nitatoa misaada kwa watu wasiojiweza wawe yatima ,masikini
n.k.nitapeleka fedha kwenye nyumba za ibada nikimaliza hapo nasubiri
kufa tu
we ndio mshindi njoo sasa uchukue
Richard Pryor kaangalie movie yake utajua alizifanyaje