Una neno gani kwa golikipa wa Yanga Dida

moodykabwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2015
625
602
Alikaa golini mechi na Al Ahly klabu bingwa Afrika akishuhudia goli la jioni na lililobaki kama alama ya uchungu kwake , wanayanga na watanzania kwa ujumla . Goli lililoiondoa Yanga katika michuano hiyo .
Leo tena akiwa langoni dakika zile zile refa ana amuru ipigwe pennati langoni mwake .
Alivuta pumzi ndefu na kulitazama benchi la ufundi kisha wachezaji wenzake na kwa haraka fikra zake zikasafiri maelfu ya kilomita hadi nchini kwake ( kwetu) na kuziona nafsi karibu milioni 40 zikijenga tumaini la magharibi juu yake , . Taifa nzima likimtazame yeye aamue furaha yao au wahuzunike tena ...
Aliuma meno na na kujiweka sawa langoni .
.... Penati akaipangua ... Taifa likazizima kwa furaha ... mikono yake ikawa mali kuliko almasi za waangola... Kwa hasira na jiwe wakampiga.. Wakamuona adui na katili mkubwa kuliko nduli wao hayati Jonasi Savimbi aliyewatesa kwa miongo kadhaa... Oooh Dida...

Una neno gani kwake?! !
1463602761295.jpg
 
Nafsi million 40 zipi? Unataka kusema au kumaanisha asilimia 80 y Watanzania wote wanajua kinachoendelea katika medani ya soka?
Acha kugeneralize mambo!

Ungetaja tu kiasi kidogo unachokijua kuhusu wanachama na mashabiki wa Yanga ambao hakika ulikuwa na uhakika pasipo Shaka kwamba walikuwa wakiwaombea yaliyo mema.

Dida mchezaji mzuri lakini simsifii kwenye mambo ya matuta ambayo siku zote ni bahati nasibu!
 
Alikaa golini mechi na Al Ahly klabu bingwa Afrika akishuhudia goli la jioni na lililobaki kama alama ya uchungu kwake , wanayanga na watanzania kwa ujumla . Goli lililoiondoa Yanga katika michuano hiyo .
Leo tena akiwa langoni dakika zile zile refa ana amuru ipigwe pennati langoni mwake .
Alivuta pumzi ndefu na kulitazama benchi la ufundi kisha wachezaji wenzake na kwa haraka fikra zake zikasafiri maelfu ya kilomita hadi nchini kwake ( kwetu) na kuziona nafsi karibu milioni 40 zikijenga tumaini la magharibi juu yake , . Taifa nzima likimtazame yeye aamue furaha yao au wahuzunike tena ...
Aliuma meno na na kujiweka sawa langoni .
.... Penati akaipangua ... Taifa likazizima kwa furaha ... mikono yake ikawa mali kuliko almasi za waangola... Kwa hasira na jiwe wakampiga.. Wakamuona adui na katili mkubwa kuliko nduli wao hayati Jonasi Savimbi aliyewatesa kwa miongo kadhaa... Oooh Dida...

Una neno gani kwake?! !
 

Attachments

  • 1463604532620.jpg
    1463604532620.jpg
    28.9 KB · Views: 110
Nafsi million 40 zipi? Unataka kusema au kumaanisha asilimia 80 y Watanzania wote wanajua kinachoendelea katika medani ya soka?
Acha kugeneralize mambo!

Ungetaja tu kiasi kidogo unachokijua kuhusu wanachama na mashabiki wa Yanga ambao hakika ulikuwa na uhakika pasipo Shaka kwamba walikuwa wakiwaombea yaliyo mema.

Dida mchezaji mzuri lakini simsifii kwenye mambo ya matuta ambayo siku zote ni bahati nasibu!
we utakua na undugu na haji manara au utakua na uhusiano na chura fc, yanga ikifanya vizuri katika ngazi za kimataifa sifa kubwa inaenda kwetu kama taifa
 
Go go go go dida mtoa post achana na timu ya vyura
 
yupo vizuri sana sema Tff sijui wanasimamia nini izi timu zetu miaka nenda rudi lazima wapigwe huko Angola nakumbuka Simba alipomtoa Atretico Aviacao Mwameja alipigwa jiwe akashonwa nyuzi 11 sisi kila siku watu wa kulalamika na Caf wapo Fifa ipo kwa nini CAS ipo...
 
donbeny makao makuu ya Caf yapo hapo cairo huoni hata wanavyopanga timu zao lazima zimalize nyumbani toka nakua ipo ivyo...kwa nini si figisu tuu iyo
 
Kweli mkuu, ila wamezidi kutuonea...hata kama mchezo hauitaji hasira ila wanatusababishia.!
ilitakiwa Yanga waorodheshe viwanja vitatu hapa kama waarabu kwao wanavyofanya kiwanja kizuri hapa wanapelekwa mwanza huko kama wao wanavyofanya au Enyimba mnawaweka kwenye carpet hapo nani atafungwa na huo wanatumiwa Caf na Tff taharifa kuwa kuna siku ya kitaifa mambo ya jeshi au ukarabati...
 
Back
Top Bottom