Hicho ni kifungu kutoka 1 Pet 4:7-14Mwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala. Zaidi ya yote iweni na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendo husitiri wingi wa dhambi.
Uzwazwa mtupu. Tumesikia uongo huu tangu tukiwa vichanga na sasa tunazeeka na hamna kitu. Kesha mwenyewe kwa vile mwisho wako umefika.Mwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala. Zaidi ya yote iweni na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendo husitiri wingi wa dhambi.
CCM imefika mwisho, wanakumbushwa kukesha na kusaliHicho ni kifungu kutoka 1 Pet 4:7-14
Mwisho wa mambo yote... Mambo gani hayo yanayokaribia mwisho?
Tuwe na akili... Kwani hatuna akili?
Tukeshe katika sala... Tusilale? Tukae tukiomba tu?
Upendo husitiri wingi wa dhambi... Nini maana yake?
Tusaidiane kujibu maswali hayo kwa usahihi.
Mwisho wako Leo X unefikqUzwazwa mtupu. Tumesikia uongo huu tangu tukiwa vichanga na sasa tunazeeka na hamna kitu. Kesha mwenyewe kwa vile mwisho wako umefika.
Babeli imeangukaCCM imefika mwisho, wanakumbushwa kukesha na kusali
Babeli imeanguka
2 Petro 3:8-9Uzwazwa mtupu. Tumesikia uongo huu tangu tukiwa vichanga na sasa tunazeeka na hamna kitu. Kesha mwenyewe kwa vile mwisho wako umefika.
Hakuna Amani Tena DunianiMwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala. Zaidi ya yote iweni na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendo husitiri wingi wa dhambi.
Endelea kuotaHicho ni kifungu kutoka 1 Pet 4:7-14
Mwisho wa mambo yote... Mambo gani hayo yanayokaribia mwisho?
Tuwe na akili... Kwani hatuna akili?
Tukeshe katika sala... Tusilale? Tukae tukiomba tu?
Upendo husitiri wingi wa dhambi... Nini maana yake?
Tusaidiane kujibu maswali hayo kwa usahihi.