snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,710
- 23,644
Nine digits? Acha hizo mwalimu, Kwani we ni unafundisha Man U?
AHAHAHHAHAHHAHAH man U hata ya kishule shule si ipo?ahahhhha umeshtuka enh!?
Nine digits? Acha hizo mwalimu, Kwani we ni unafundisha Man U?
nani aache ualimu!akha wawaulize viongozi wa nchi hii kwanini wote enzi zao walioa walimu ndo watajua ni raha kiasi gani kuwa na muke mwalimu!nanyonyesha miezi fluent miezi sita bila longolongo wala nini,wanangu najua hata wakichubuka goti,mume wangu anakula chakula ya mkewe mwezi mzima,siatki cha perdiem wala nini hapa hapa bongo na nazichanga uzuri tu huku home namantain poa tu,full kujua ua gani limekaa hovyo bustanini!joto la mwanangu likipanda najua,sio kwa kupewa taarifa na dada akhu!THUMBS UP KWA WALIMU KINA MAMA WOTE!
uspate shida nae huyu mwambie aende akaangalie TGTS G ni digit ngapi. na kimsingi waalimu tunamishahara mizuri kama watumish engine wa serikali ishu kwetu ni kwamba hakuna safari wala visemna na hivi tunavikompasate kwa kufanya kazi za nyumban hasa mradi ili kufeel gap. sasa wao na per diem zao bado house management inawashinda na siye ndo tunaongoza kwa house management nzuri manake hata siku kikombe kikivunjika mkono tu lazima nitajua ama mwiko ukivunjika lazima nitajua tu. sasa huyu georgeallen mara ya mwisho yeye kujua kwamba thermos ya chai home kwake imevunjika ni siku alipokuwa anaandaa chai akakosa chupa jiulize watoto walikuwa wanakunywa cha ya kumiminwa toka kwenye sufura kwa muda gani????BEST tupo ndani ya 9 digits,so tunakimbiza mjini kama hatuna akili zuri na hizi hizi pochi zetu zilizojaa majina ya waliochelewa kipindi,na scheme of works plus log books!hiyo misharaha unayosema ni siku nyiiing sana!I LOVE BEING A TEACHER!AND AM PROUD BEING ONE!
walimu wa siku hizi wanasema "wanafunzi watasoma tuition":-*
mkuu nimefundisha kilakala miaka 2, nikaenda galanos miaka 3 na sasa niko kibaha mwaka wa sita huu sijawah hata uwa na darasa la tuition wala ubao nyumban kwangu zaid tu ya remedials ambazo ni mara moja kwa wiki basi.
Aisee.....