Umuhimu wa Ukanda wa Pwani kwa Uchumi wa Tanzania

Sasa hayo yote mbona hatuoni faida yake kama nchi zaidi ya kutegemea dhahabu na almasi za kanda ya ziwa ili kuendesha uchumi wa hii nchi.
Yeye hoja yake hapa ni kwamba haya yote yapo Pwani; sasa issue ya kwamba yanalifaidisha Taifa ama la, hilo sasa ni swala jingine, usimuulize yeye kwa sababu hahusiki na hilo

Ni kama Kanda ya Ziwa kumejaa madini ya kila aina lakini nadhani ndiyo sehemu ambayo unaweza ukawakuta Watanzania ambao ni maskini zaidi hapa nchini kwetu

cc: inamankusweke
 
Tatizo sio potential iliyopo pwani shida inakuja jinsi ya kuzitumia fursa mlizo nazo mfano watu wa pwani ni wavivu kupitiliza. Pia ukienda nchi nyingi Duniani maeneo yaliyopakana na bahari huwa yana potential kubwa mfano New York,London Cape town, LA .... nk
 
Sasa hayo yote mbona hatuoni faida yake kama nchi zaidi ya kutegemea dhahabu na almasi za kanda ya ziwa ili kuendesha uchumi wa hii nchi.

Na pwani imejengwa na watu wa nje ya pwani hakuna mtu wa pwani mwenye uwezo wa kusimamisha hata gorofa chanika.

Kingine ukiondoa bandari pwani haina la maana..kama korosho nenda manyoni sasahivi zinapatikana za kutosha.

Watu wapwani project wananzozijua ni kukata viuno na kucheza bao na kunywa kahawa na kuvaa misuli..

#MaendeleoHayanaChama
"Tutake radhi watu wa ukanda huu,wewe msukuma vipi bhana wewe jaje..

bhaa!! Wewe mtoto una dharau sana eboo!"
 
Tatizo sio potential iliyopo pwani shida inakuja jinsi ya kuzitumia fursa mlizo nazo mfano watu wa pwani ni wavivu kupitiliza. Pia ukienda nchi nyingi Duniani maeneo yaliyopakana na bahari huwa yana potential kubwa mfano New York,London Cape town, LA .... nk
Pwani kumbe wavivu..?
 
Back
Top Bottom