Umuhimu wa Ukanda wa Pwani kwa Uchumi wa Tanzania

Sasa hayo yote mbona hatuoni faida yake kama nchi zaidi ya kutegemea dhahabu na almasi za kanda ya ziwa ili kuendesha uchumi wa hii nchi.

Na pwani imejengwa na watu wa nje ya pwani hakuna mtu wa pwani mwenye uwezo wa kusimamisha hata gorofa chanika.

Kingine ukiondoa bandari pwani haina la maana..kama korosho nenda manyoni sasahivi zinapatikana za kutosha.

Watu wapwani project wananzozijua ni kukata viuno na kucheza bao na kunywa kahawa na kuvaa misuli..

#MaendeleoHayanaChama
Hao wasio wa pwani mbona hawajajenga kwao!!?..ramadhani dau ni mnyakyusa!?
 
Ukisema pwani ni Km Ngapi?kutoka usawa wa bahari.
Niliwahi fika bagamoyo ambao upo pwani, hakuna hata daladala za kuunganisha wilaya na wilaya.hawana cha kutoa au kufuatwa.pangani ndio wilaya kongwe yenye chini ya km 2 za lami.pangani wana nini kati ya utajiri ulio utaja?.
Nimewahi fika lindi.nafasi ya mkoa ni kuubwa lakini mjini ni kama vile upo bagamoyo.
Swali pwani ni km ngapi kutoka baharini?
Nilitaka kuuliza hili..asante kwa kuuliza mana sehemu kama masasi mtwara huwezi iita ile iko ukanda wa pwani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mleta mada ongezea na ukarimu pia
Ni rahisi kwa mtu wa bara kuja kujichimbia kwenye vijiji vya Pwani na akafanya shughuli zake kama kawaida.
Ni ngumu kwa mtu wa mkoa mwingine kwenda kwenye vijiji vya mijitu ya bara na akafanya shughuli zake fresh
 
Hiyo chuki kwa JKN haitokusaidi..jikite kutengeneza maisha yako na ndugu zako wa pwani kutoka kwenye lindi la umasikini na ujinga.

#MaendeleoHayanaChama
Msaidie babaako kutoka kweny ushoga na wewe mwenyewe ndo uache shobo kafiri mkubwa kasaidie kwenu omba omba kibao
 
Ila pwani kumezidi asee..hali ni mbaya sana nadhani ile sera ya kupambana na maadui wa ujinga umasikna maradhi wao walikua nje ya nchi.

#MaendeleoHayanaChama
Umaskini upi wewe shoga na babaako mpaka mliwe ndo mnapata chakula
 
Sasa hayo yote mbona hatuoni faida yake kama nchi zaidi ya kutegemea dhahabu na almasi za kanda ya ziwa ili kuendesha uchumi wa hii nchi.

Thibitisha kuwa Tanzania inaendeshwa kwa dhahabu na almasi za kanda ya Ziwa? Je, Mapato ya dhahabu na almasi kwa mwaka ni Tsh ngapi?
 
Sasa hayo yote mbona hatuoni faida yake kama nchi zaidi ya kutegemea dhahabu na almasi za kanda ya ziwa ili kuendesha uchumi wa hii nchi.

Na pwani imejengwa na watu wa nje ya pwani hakuna mtu wa pwani mwenye uwezo wa kusimamisha hata gorofa chanika.

Kingine ukiondoa bandari pwani haina la maana..kama korosho nenda manyoni sasahivi zinapatikana za kutosha.

Watu wapwani project wananzozijua ni kukata viuno na kucheza bao na kunywa kahawa na kuvaa misuli..

#MaendeleoHayanaChama
Unawajua wote kaangalie shehoza ,nikutajie wengine wakina sasi ,masko, kaangalie huko bado wapo wasambaa Wana biashara kibao

Endelea na ushamba wako wakuja vaa oga vizuri sio meno yameoza Kama unakul mavi
 
Ila pwani kumezidi asee..hali ni mbaya sana nadhani ile sera ya kupambana na maadui wa ujinga umasikna maradhi wao walikua nje ya nchi.

#MaendeleoHayanaChama

Hapana sio kweli.. Takwimu zinaonyesha mikoa ifuatayo ndio maskini zaidi Tanzania.. kwenye top 10 ya mikoa maskini Tanzania nzima, pwani kuna mkoa mmoja tu..

Jielimishe ACHA KUSILIZA STORI ZA VIJIWENI
 

Attachments

  • images (4).jpg
    images (4).jpg
    42.5 KB · Views: 13
Ukisema pwani ni Km Ngapi?kutoka usawa wa bahari.
Niliwahi fika bagamoyo ambao upo pwani, hakuna hata daladala za kuunganisha wilaya na wilaya.hawana cha kutoa au kufuatwa.pangani ndio wilaya kongwe yenye chini ya km 2 za lami.pangani wana nini kati ya utajiri ulio utaja?.
Nimewahi fika lindi.nafasi ya mkoa ni kuubwa lakini mjini ni kama vile upo bagamoyo.
Swali pwani ni km ngapi kutoka baharini?

Unaelewa maana ya Ukanda? Kwani ukisema "kanda ya Ziwa" ni km ngapi kutoka Ziwa Victoria?
 
Hivi kuna sehemu iliyobarikiwa nchi hii kulinganisha na pwani?

1. Bandari zote kuu Tanzania (Dar, Tanga, Mtwara) ziko pwani..
2. Natural gas reserves worth atleast 250 Billion USD zipo pwani
3. Huge Helium gas Reserves... ni pwani..
4. Huge Uranium Deposits.. pwani hiyo..
5. Unajua korosho inaingizia Taifa kiasi gani per annum?
6. JN HydroPower Project(2115 MW) lipo Rufiji, pwani..
7. Mikoa miwili ya Pwani (Tanga na Morogoro) inaweza kulisha Tanzania nzima.. Hakuna zao la chakula linalolimwa Tanzania ambalo halistawi kwenye hii mikoa miwili iliyopo pwani..
8. Selous na Saadani.. kwenye utalii wa wanyama ukanda wa Pwani..
9. Mikoa ya Tanga, Lindi na Morogoro ina madini mengi sana..
10. Tourism.. Mafia island, Bagamoyo, Kilwa, Coastal Beaches kuna potential kubwa sana kama tu zitakuwa Developed kama Zanzibar..
11. Potential kubwa ya Blue Economy kama tu serikali itafocus kwenye uchumi wa Bahari..
12. Probability ya uwepo wa Mafuta ni mkubwa kwenye eneo la Zanzibar Channel..
13. Zao linalofufuka la Mkonge.. pwani hiyo
14. Je, unajua kwa nini viwanda vingi vipo Dar? (Na Zamani Tanga japo viliuliwa)?... Hiyo ni pwani
etc...

Hii ndio pwani..
Namba 3 &4 ni uongo
 
Ila pwani kumezidi asee..hali ni mbaya sana nadhani ile sera ya kupambana na maadui wa ujinga umasikna maradhi wao walikua nje ya nchi.

#MaendeleoHayanaChama
Pwani ni dar,tanga,pwani,Lindi,mtwara...Pana tatizo kuzidi nyanda za juu kusini au Kanda ya ziwa!?..una takwimu!?
 
Ila pwani kumezidi asee..hali ni mbaya sana nadhani ile sera ya kupambana na maadui wa ujinga umasikna maradhi wao walikua nje ya nchi.

#MaendeleoHayanaChama
Ww unataka kuanzisha vita nyingine ambayo hutaiweza ngoja mimi niwe refa.
 
Back
Top Bottom