Habari wadau,nimekaa nikakumbuka kuhusu umuhimu wa regional Integration.
Rais wa Kenya yuko white house akijadiliana mambo mbalimbali na rais wa Marekani.
Ni hakika baada ya mkutano huo yapo mambo mengi mazuri yatakayofuta.
Kwanini rais wetu hapendi kusafiri nje kukutana na marais wengine,kuna tofauti kati ya kutuma mwakilishi na kwenda mwenyewe.
Nadhani ingeleta faida zaidi hasa katika sekta ya uweekezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa Kenya yuko white house akijadiliana mambo mbalimbali na rais wa Marekani.
Ni hakika baada ya mkutano huo yapo mambo mengi mazuri yatakayofuta.
Kwanini rais wetu hapendi kusafiri nje kukutana na marais wengine,kuna tofauti kati ya kutuma mwakilishi na kwenda mwenyewe.
Nadhani ingeleta faida zaidi hasa katika sekta ya uweekezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app