nickvalerion2810
Senior Member
- Mar 31, 2015
- 112
- 36
Naanza kuona umuhimu wa nchi kuongozwa na waalimu....mwalimu nyerere na mwl( Dkt) Magufuli wana ideology sawa....
Hili ni funzo kwa serikali kuwathamini waalimu maana waalimu wakishika nchi wananyosha maelezo....wanawafundisha viongozi tena waliowafundisha primary.....
Nahisi its high time ipite sheria kuwa Rais lazima awe alipitia UALIMU
Hili ni funzo kwa serikali kuwathamini waalimu maana waalimu wakishika nchi wananyosha maelezo....wanawafundisha viongozi tena waliowafundisha primary.....
Nahisi its high time ipite sheria kuwa Rais lazima awe alipitia UALIMU