nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 655
- 528
Kwa mtazamo wangu nina mambo mawili yanayonifanya nitamani kufunga ndoa.
1.)Status-unaheshimika na jamii ukioa,sina jibu kwanini inakuwa hivyo la moja kwa moja...ila hicho kitu nimekiona mara nyingi.
2).Mipango inapangika-richa ya kuwa unakuwa unaingia kwenye majukumu mazito wanaume wengi huwa wanafanya malengo,dont know how is happen.
3).Watoto-kitendo cha kuwa na watoto ni furaha sana,ila kama umeamua kudhati kuzaa na kuchukua jukumu hili kwa moyo mmoja.
Tusiktukane...tushawishiane kwa point za msingi.
1.)Status-unaheshimika na jamii ukioa,sina jibu kwanini inakuwa hivyo la moja kwa moja...ila hicho kitu nimekiona mara nyingi.
2).Mipango inapangika-richa ya kuwa unakuwa unaingia kwenye majukumu mazito wanaume wengi huwa wanafanya malengo,dont know how is happen.
3).Watoto-kitendo cha kuwa na watoto ni furaha sana,ila kama umeamua kudhati kuzaa na kuchukua jukumu hili kwa moyo mmoja.
Tusiktukane...tushawishiane kwa point za msingi.