Umuhimu wa kutembelea makaburi upo?

Umuhimu wa kutembelea makaburi upo?

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,933
Reaction score
9,033
Kwanza nawasalimu.

Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu yenye swali mwishoni.

Mimi nilishaondokwa Na baba yangu mzazi tangu mwaka 2004 Na akazikwa nyumbani kwao mkoa flan hapa hapa Tanzania.

Ukweli Ni kwamba mahali alipozikwa Ni mbali kidogo na tunapoishi mim na Mama yangu mzazi.

Sasa Tangu wakati huo amefariki Na kuzikwa mim sikuwahi kwenda kabisa kufunga safari Na kwenda kutembelea kaburi lake kwa namna yoyote Ile.....mpka hivi sasa baba zangu zaidi ya watatu wameshakufa Na kuzikwa pembeni yake still sijawahi kutembelea eneo la makaburi.
Sasa kunawakati napata misukosuko kweny maisha mpka najikuta kuhusianisha Na Hili swala...sifahamu Kama nakosea kufanya hivi au lah.

Ndo mana Leo nimeona kuuliza kwa wataalam humu ndani itaweza kunipa mwanga kidgo.

Je Kuna madhara yoyote spiritually ya Mimi kutodhuru makabuli ya baba pamoja Na ndugu zangu? Na nitakapokwenda kudhuru huko Kuna faida zozote spiritually?

Ahsanteni Na nahitaji mawazo yenu tafadhari. Samahani kwa niliekukera kinamna yoyote.
 
Kwanza nawasalimu.

Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu yenye swali mwishoni.

Mimi nilishaondokwa Na baba yangu mzazi tangu mwaka 2004 Na akazikwa nyumbani kwao mkoa flan hapa hapa Tanzania.

Ukweli Ni kwamba mahali alipozikwa Ni mbali kidogo na tunapoishi mim na Mama yangu mzazi.

Sasa Tangu wakati huo amefariki Na kuzikwa mim sikuwahi kwenda kabisa kufunga safari Na kwenda kutembelea kaburi lake kwa namna yoyote Ile.....mpka hivi sasa baba zangu zaidi ya watatu wameshakufa Na kuzikwa pembeni yake still sijawahi kutembelea eneo la makaburi.
Sasa kunawakati napata misukosuko kweny maisha mpka najikuta kuhusianisha Na Hili swala...sifahamu Kama nakosea kufanya hivi au lah.

Ndo mana Leo nimeona kuuliza kwa wataalam humu ndani itaweza kunipa mwanga kidgo.

Je Kuna madhara yoyote spiritually ya Mimi kutodhuru makabuli ya baba pamoja Na ndugu zangu? Na nitakapokwenda kudhuru huko Kuna faida zozote spiritually?

Ahsanteni Na nahitaji mawazo yenu tafadhari. Samahani kwa niliekukera kinamna yoyote.
aaaah imani tu hapo...ukiamini kua ukiacha kwenda mambo yako hayatoenda bhas jua itakua ivyo..ila ukiwa kama mimi don care mambo yako yanaenda vizuri tu..angalia imani yako tu inakusukuma ufanye nini mkuuu.

Madhara au Faida hamna mtu ataekuja kuthibitisha hapa 100% kua kuna madhara au faida,ndio mana hata usiku wakat wa kulala au wakat wa kula kuna wanaoamini bila kuomba kumshukuru mungu Si vizuri na kuna wasio amini lkn wote mambo yanaenda na maisha yanasonga.

Angalia imani yako mkuuu.
 
Faida ipo, vp ushajiuliza sababu inayotufanya tuwakumbuke waliotutangulia kwa maombi??
Mara nyingine ndugu waliotutangulia yawezekana ndiyo walikuwa mashujaa wetu; sasa kwa nn tusitembelee mahali tulipo wapumzisha?
Kutembelea makaburi siyo vibaya japo usihusishe na changamoto unazopitia.
Hata hivyo kuna relief utapata, tembelea ukafanye na usafi kabisa....
 
kutembelea ni muhimu japo kwakutofanya ivyo sio sababu ya kupata mikosi na wali kwakufanya ivyo sio sababu ya kuwa na ustawi maishani.MUNGU alimuumba mwanadamu na kumpa thamani na daraja la juu na hata waliolala makaburini MUNGU anawathamini pia maana ndiye aliyetoa na kutwaa. wao kuwa makaburini haina maana kuwa thamani yao ndio imeisha kabisa.
 
Inafaa sana lakini sio kwa MAOMBI ila kwa MAZINGATIO YA KUKUMBUKA KUWA PIA NASI TUTAKUFA.

Kwa yoyote atakayefikiri yeye ni bora kuliko wengine akatembelee MAKABURI ajiulize tu kuwa kwa nini wale wamekufa na kwa nini yeye yuko hai.....NI SUALA LA MUDA TU.

Tumuogope sana MWENYEZI na tujitahidi kuishi vizuri sisi kwa sisi pia na viumbe vingine vyote na tujitahidi kufanya IBADA SANA.
 
Faida ipo, vp ushajiuliza sababu inayotufanya tuwakumbuke waliotutangulia kwa maombi??
Mara nyingine ndugu waliotutangulia yawezekana ndiyo walikuwa mashujaa wetu; sasa kwa nn tusitembelee mahali tulipo wapumzisha?
Kutembelea makaburi siyo vibaya japo usihusishe na changamoto unazopitia.
Hata hivyo kuna relief utapata, tembelea ukafanye na usafi kabisa....
Umuhimu upo tena mkubwa tu.
 
Hakuna uhusiano ila na wewe uwe una enda hata Mara moja kwa mwaka kusafisha kabuli LA mzee wako ebo
 
Unachokifikiria ndicho kinachokutokea acha iman potofu
 
Mpe Yesu maisha no misukosuko anymore.Hachana na habari za ibada za wafu huo ni.ushetani maana unataka kujilisha upepo kwamba ukitembelea makaburi ndio misukosuko itaisha hiyo ni ibada ya wafu.
Ukiokoka tu kila kitu kitakaa sawa kwenye tatizo Yesu atakutetea na zaidi ya yote utaupata uzima wa milele.
 
aaaah imani tu hapo...ukiamini kua ukiacha kwenda mambo yako hayatoenda bhas jua itakua ivyo..ila ukiwa kama mimi don care mambo yako yanaenda vizuri tu..angalia imani yako tu inakusukuma ufanye nini mkuuu.

Madhara au Faida hamna mtu ataekuja kuthibitisha hapa 100% kua kuna madhara au faida,ndio mana hata usiku wakat wa kulala au wakat wa kula kuna wanaoamini bila kuomba kumshukuru mungu Si vizuri na kuna wasio amini lkn wote mambo yanaenda na maisha yanasonga.

Angalia imani yako mkuuu.
Imani uja kwa kusikia neno la Mungu na si kwa imani yako kila imani inachanzo chake.Wewe imani yako is dont care huyu mwenzako tangu awali alikuwa anaibada za wafu au mizimu so alijiconnect sasa bila kuwa na mawasiliano.nayo uleta shida ndani ya maisha yake.
Kwa.mfano wewe shetani ameshakumili.ndio maana hapotezi muda wake kuangaika.sana na.wewe ndio maana unaishi maisha ya u dont care ukidhani ni.vyema.na kujiananisha na wale wanaomshukuru na.kumuomba Mungu.Yesu ndio jibu ya yote.
 
Faida ipo, vp ushajiuliza sababu inayotufanya tuwakumbuke waliotutangulia kwa maombi??
Mara nyingine ndugu waliotutangulia yawezekana ndiyo walikuwa mashujaa wetu; sasa kwa nn tusitembelee mahali tulipo wapumzisha?
Kutembelea makaburi siyo vibaya japo usihusishe na changamoto unazopitia.
Hata hivyo kuna relief utapata, tembelea ukafanye na usafi kabisa....
Wewe hacha uongo hayo ndio.mafundiaho ya RC sasa mtu ameshakufa wewe umkumbuke kwa maombi ili iweje hakina mawasilianao.kati ya mtu aliyekufa na aliye hai .Mtu ukifa no more communication Bibilia imekataza ibada za wafu ndugu zangu.Soma Waebrania9:27 baada ya kifo ni hukumu ukimuombea aliyekufa ni kujilisha upepo.
 
Kwanza nawasalimu.

Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu yenye swali mwishoni.

Mimi nilishaondokwa Na baba yangu mzazi tangu mwaka 2004 Na akazikwa nyumbani kwao mkoa flan hapa hapa Tanzania.

Ukweli Ni kwamba mahali alipozikwa Ni mbali kidogo na tunapoishi mim na Mama yangu mzazi.

Sasa Tangu wakati huo amefariki Na kuzikwa mim sikuwahi kwenda kabisa kufunga safari Na kwenda kutembelea kaburi lake kwa namna yoyote Ile.....mpka hivi sasa baba zangu zaidi ya watatu wameshakufa Na kuzikwa pembeni yake still sijawahi kutembelea eneo la makaburi.
Sasa kunawakati napata misukosuko kweny maisha mpka najikuta kuhusianisha Na Hili swala...sifahamu Kama nakosea kufanya hivi au lah.

Ndo mana Leo nimeona kuuliza kwa wataalam humu ndani itaweza kunipa mwanga kidgo.

Je Kuna madhara yoyote spiritually ya Mimi kutodhuru makabuli ya baba pamoja Na ndugu zangu? Na nitakapokwenda kudhuru huko Kuna faida zozote spiritually?

Ahsanteni Na nahitaji mawazo yenu tafadhari. Samahani kwa niliekukera kinamna yoyote.
Umuhimu wa kuzuru makaburi ni kupata hofu ya kifo na kukumbuka kuwa sote tutakufa kwa iyo tukio hai tujiandae mana kifo hakina hodi
Je mimi na wewe tumejipangaje juu ya hili!?
 
Wewe hacha uongo hayo ndio.mafundiaho ya RC sasa mtu ameshakufa wewe umkumbuke kwa maombi ili iweje hakina mawasilianao.kati ya mtu aliyekufa na aliye hai .Mtu ukifa no more communication Bibilia imekataza ibada za wafu ndugu zangu.Soma Waebrania9:27 baada ya kifo ni hukumu ukimuombea aliyekufa ni kujilisha upepo.
mkuu, kuwa mpole! Je umewahi kumpoteza mtu muhimu kwako? Kama ndiyo huwa unamwombea nn huko aliko? Nijibu hapo kwanza tuendelee...
 
Back
Top Bottom