Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
Karibu ntaacha kupeana mikono na watu...hususan wanaume wenzangu. Kwa nini? Kila mwanaume aendapo chooni (haja ndogo) lazima ashike nanii yake. Hivyo kila upeanapo mkono na mwanaume, manake (indirectly) anakushikisha nanii yake.
Fikiria kwa siku unapeana mikono na watu wangapi? Kwa hiyo kwa siku umeshikishwa nanii ngapi? Mbaya zaidi, wengi wetu hatuna utamaduni wa kuosha mikono yetu baada ya haja...
Nadhani kuna haja sasa ya kunawa na sabuni kila upatapo nafasi...au vinginevyo si vibaya tukiwaiga wenzetu wa bara asia. Badala ya kupeana mikono, ni mwendo wa kuinamisha vichwa....!
Nawasilisha
Fikiria kwa siku unapeana mikono na watu wangapi? Kwa hiyo kwa siku umeshikishwa nanii ngapi? Mbaya zaidi, wengi wetu hatuna utamaduni wa kuosha mikono yetu baada ya haja...
Nadhani kuna haja sasa ya kunawa na sabuni kila upatapo nafasi...au vinginevyo si vibaya tukiwaiga wenzetu wa bara asia. Badala ya kupeana mikono, ni mwendo wa kuinamisha vichwa....!
Nawasilisha