Umuhimu wa kufunga vyumbani kwetu

Umuhimu wa kufunga vyumbani kwetu

Hawa utadhani walikuwa akilini mwangu...


Master bedroom is a "holy place", eneo ambalo hakuna mtu anaingia ovyo, unless kuwe na sababu za msingi...

madhara ya kuacha waz master bedroom ni kwamba kule ndiko zinakaa nyaraka mbalimbali kama hati na document nyengne kuacha waz ina maana zinaweza kupotea bila wewe kugundua kwa mapema cz si kila siku tunaangalia document zetu binafs ila ukifunga pakivunjwa ni rahs kujua kama tayari umeshaibiwa na ujue wap pa kuanzia....

Privacy. First and foremost.

Ni vizuri kufunga kwa usalama na heshima.
 
Kwa usalama & privacy zaidi funga main house (copies za funguo kabidhi watoto kama ni wakubwa kidogo), waachie house keepers watumie servant quarter kama hupo nyumbani.
 
cha msingi kuepusha hg au hb asiwadhuru chakulani au kuwaibia ni kuwapa upendo nao wajione ni sehemu ya familia, mpe mshahara wake kwa kadri ya mkataba na kwa wakati. mara moja moja kamnunulie nguo ambapo hiyo ni fair tu wala haitokata mshahara wake, ukiyafanya hayo saa ngapi atawaza akudhuru kwa sumu au akuibie
 
bro_A upendo ni muhimu kuliko chakula na mshahara.Kipimo cha ubinadamu ni UTU na siku hizi haya maswala ya house girls yameendelea na kupitiliza ndo maana unasikia vituko na mambo ya kutisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom