Umuhimu wa First Lady mwenye hekima

Umuhimu wa First Lady mwenye hekima

Incredible

propaganda won't take us any further.
Stop. haaaaaaah
 
Last edited by a moderator:
Plus maji au Soda kwa kila mwandishi alokuwepo pale almost 200 heads!
"..Nilikua nashindia mihogo... hata nyumba
nayoishi nimejengewa na Mwenyekiti.."
Calculation,
1. Mihogo 250/= × 2 x 3 = 1500/= per day,
(tamka "buku jero")
2. 1500/= × 365 days = 547,500/= a year. TOTAL
547,500/=
Press Conference,
1. TV (live coverage) 25 mil × 3hrs × 3Chanels =
225 mil.
2. Radio (Live coverage) 2 mil x 3 hrs × 10 = 60
mil.
3. Newspapers 5 mili (Lampsum).
TOTAL 290 Mil [tamka "milioni mia mbili na
tisini"]
Huyo ndiye mtu aliyekuwa akishindia mihogo.
Unashindia mihogo ya buku jero kwa siku, then
unachoma almost 300 Mil. in three hours, na
unapata ujasiri wa kuwaita wenzio Mafisadi.
Duuuh # Shikamoo_mihogo .!
 
Mwanaume anayekosa sauti mbele ya mchumba/kimada wake ni hatari sana.
Sasa ingekuwa vipi kwenye kusaini mikataba minono yenye kuwaneemesha wachache? First lady si angetumika kumtisha mzee asaini?
Mungu ni mwema, anatupenda Watanzania ndio maana katuletea mtu sahihi na kwa wakati sahihi Edward Ngoyai Lowassa.
Hivyo nasi hatuna budi kumchagua yeye.

Dada umeolewa? Uko vizuri na umefafanua vizuri sana naomba nikupende bure tu! Twende na Lowassa maana mafuguli naye fisadi wa kutupwa aligawa nyumba za serikali kwa mtoto wake anayenyonya na kwa kimada wake huku akiwaacha solemba watumishi wa serikali kama ilivyokuwa imeagizwa!
 
Incredible

propaganda won't take us any further.
Stop. haaaaaaah
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume anayekosa sauti mbele ya mchumba/kimada wake ni hatari sana.
Sasa ingekuwa vipi kwenye kusaini mikataba minono yenye kuwaneemesha wachache? First lady si angetumika kumtisha mzee asaini?
Mungu ni mwema, anatupenda Watanzania ndio maana katuletea mtu sahihi na kwa wakati sahihi Edward Ngoyai Lowassa.
Hivyo nasi hatuna budi kumchagua yeye.

Kudos nifah huo ndio ukweli!
 
Last edited by a moderator:
Mumewachokoza wenyewe. Jana jioni niliamua kwenda kunywa kwenye grocery za uswazi, watu wamelipuka hatari. Mwenye grocery ni mjumbe S/M kupitia CCM naye kachachamaa vibaya sana. Wamesema wao ni Lowassa tu

Kwa kweli watu hawaelewi wanadai wao ni Lowasa tu hata waambiwe nini wao wameshakata shauri ni Lowasa. Wakati mwingine huwa najiuliza watu wanaona nini kwa Lowasa? Na kwa upande mwingine najiuliza kwanini wanamshambulia Lowasa tu?
 
Mwanaume anayekosa sauti mbele ya mchumba/kimada wake ni hatari sana.
Sasa ingekuwa vipi kwenye kusaini mikataba minono yenye kuwaneemesha wachache? First lady si angetumika kumtisha mzee asaini?
Mungu ni mwema, anatupenda Watanzania ndio maana katuletea mtu sahihi na kwa wakati sahihi Edward Ngoyai Lowassa.
Hivyo nasi hatuna budi kumchagua yeye.

Mungu yupi anayeendekeza umbea wa namna hii. Mungu hadhihakiwi, Dr Slaa kuongea facts kwa vielelezo, wanaojibu wanajibu kwa mipasho huku wakimhusisha Mungu. Mwogopeni Mungu
 
Dada umeolewa? Uko vizuri na umefafanua vizuri sana naomba nikupende bure tu! Twende na Lowassa maana mafuguli naye fisadi wa kutupwa aligawa nyumba za serikali kwa mtoto wake anayenyonya na kwa kimada wake huku akiwaacha solemba watumishi wa serikali kama ilivyokuwa imeagizwa!
Asante sana mkuu, usijali...nimefarijika kusikia hivi.
 
Kama maelezo yako ni sahihi, basi kura zinamuendea Mrs. Janet Magufuli.

Anazo hizo sifa zote ulizosema Kama ilivyokuwa kwa mama Maria Nyerere.

Queen Esther

Mke wa rais ana jukumu kubwa la kumtia moyo mumewe. Awe ni mama ambaye katulia na mwenye moyo wa upendo na uvumilivu. Asiwe mtu wa kumtawala mumewe.

Tunataka rais anapoenda nyumbani, basi apokelewe na kutiwa moyo. Rais ni binadamu anahitaji leisure and support. Sivema kuwa na first lady anayemnunia mumewe au kumtolea mabegi nje.

Tukiangalia mapito aliyopita Edward Lowassa tunaona kwamba Regina Lowassa ni mama ambaye amekuwa bega kwa bega na mumewe katika kipindi kigumu na kirefu. Huyu anafaa kuwa first lady.

Lowassa ametukanwa sana. Kiasi kwamba watawala walitaka tusiangalie ESCROW,twiga waliopelekwa Qatar, madawa ya kulevya yanayoenda South Africa na China, Tembo wanaouawa kila siku, mabehewa mabovu yaliyonunuliwa, vivuko vibovu vilivyo nunuliwa, n.k. Sisi tuimbe wimbo wa Lowassa fisadi wakati wao wanatafuna nchi.

Sisi ambao ni waumini wa kanisa katoliki, ukienda kuungama kwa padre, hauna tena jukumu lakwenda kwenye umati kuwaeleza dhambi zako. Na yule muungamishi wako anapofungua pazia la maungamo, basi yote uliyoyasema yatabaki pale. Hawezi yapeleka nje. Lakini hiyo ni sheria ya kanisa, kama zilivyo sheria nyingine. Mfano, padre haruhusiwi kuwa na kimada au mke. Ndo maana wakati wa kupadirishwa tunalala kifudifudi ikiwa ni ishara ya kuufia ulimwengu na Bwana wetu ni Yesu. Kwa mapadre wasiowaaminifu utoa siri ya maungamo ya muumini. Wengine uwa na vimada. Wengine utoka kwenye upadre lakini ukiangalia umri wa watoto wao unagundua watoto walizaliwa akiwa bado padre.

Edward Lowassa alishiriki Richmond kwa namna moja au nyingine. Lakini huyu ni mtu ambaye ameadhibiwa kwa miaka minane. Katika huo muda, ametukanwa sana tena na vijana ambao walipo mtukana walipewa vyeo. Kwakuwa huyu EL ni binadamu, basi amejifunza na akipewa nafasi ata prove kwa umma kwamba yeye ni mwema.

Pombe Magufuli naye siyo msafi. Kauza nyumba za serikali n.k. Kuna kipindi alitaka kubomoa nyumba za watu bila kuwalipa fidia wakati barabara ilikuwa imefuata makazi ya watu. Viongozi wake wa juu walimwambia aache ubabe. Sasa ukimpa urais, akipitisha uamuzi wa kibabe, sisi wananchi tutaenda wapi kuomba msaada?

Wanakigamboni waliambiwa wavuke bahari kwa kupiga mbizi. Huyu hana ubinadamu.

Katika hawa wawili tuliopewa yaani Pombe na Lowassa, bora LOWASSA. Mama Lowassa zidi kumtia moyo mzee na ukiwa first lady jiepushe na tabia za watangulizi wako. A first lady should be role model for other ladies.
 
"..Nilikua nashindia mihogo... hata nyumba
nayoishi nimejengewa na Mwenyekiti.."
Calculation,
1. Mihogo 250/= × 2 x 3 = 1500/= per day,
(tamka "buku jero")
2. 1500/= × 365 days = 547,500/= a year. TOTAL
547,500/=
Press Conference,
1. TV (live coverage) 25 mil × 3hrs × 3Chanels =
225 mil.
2. Radio (Live coverage) 2 mil x 3 hrs × 10 = 60
mil.
3. Newspapers 5 mili (Lampsum).
TOTAL 290 Mil [tamka "milioni mia mbili na
tisini"]
Huyo ndiye mtu aliyekuwa akishindia mihogo.
Unashindia mihogo ya buku jero kwa siku, then
unachoma almost 300 Mil. in three hours, na
unapata ujasiri wa kuwaita wenzio Mafisadi.
Duuuh # Shikamoo_mihogo .!

Asante kwa hii post, huyu babu anadhani waTanzania bado ni vilaza! Pesa yote aliyomwaga kufanya press conf' atuambie ameipata wapi na kwa faida ya nani? Ni unafiki mkubwa kuita watu mafisadi ilhali yeye siyo msafi! Hata akizunguka kny televisheni kila siku kama polepole haitabadili kitu. BTW mke mwenye hekima atamjenga mumewe, na kinyume chake.....:nono:
 
Ni aibu kuona waandamizi wakuu wa ukawa wanatusaliti saa 8 mchana,rushwa ni noima.
 
Hana tofauti na mama anayezaa mtoto na baadaye akaugua na dawa yake ni sumu! Huyu Dr.slaa hajafanya njema kabisa! Mbona akina Dr.salim wako kimya pamoja na yaliyowapata??
 
First lady asiye na busara ni hatari anaweza akatumia "kitanda"kama jukwaa muhimu la kudai kutekelezwa kwa masuala yake binafsi ndani ya serikali.anageuza kitanda chake kuwa ikulu na hii ni hatari.
 
Kila aina ya mbinu inayofanywa dhidi ya UKAWA haitafanikiwa, ya Lipumba imedoda na Dr. Slaa hivyo hivyo, tutaepushwa kila aina ya uovu mwaka huu hatimaye ndani ya Ikulu..
 
Back
Top Bottom