wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
AFRICAN LEADERS
Abdoulaye Wade ( Senegal )- age 83
Hosni Mubarak ( Egypt ) - age 82
Robert Mugabe ( Zimbabwe ) - age 86
Hifikepunye Pohamba ( Namibia ) - age 74
Rupiah Banda ( Zambia ) - age 73
Mwai Kibaki ( Kenya ) - age 71
Ellen Johnson Sirleaf ( Liberia ) - age 75
Colonel Gaddafi ( Libya ) - age 68
Jacob Zuma ( South Africa ) - age 68
Bingu Wa Mtalika (Malawi) - age 76
John Evans Atta-Mills (Ghana) - age 67
Average Age: =======================75.6
Approximately 76 years
_____________________________
THE WESTERN WORLD
Barrack Obama ( USA ) - age 48
David Cameron ( UK ) - age 43
Dimitri Medvedev ( Russia ) - age 45
Stephen Harper ( Canada ) - age 51
Julia Gillard ( Australia ) - age 49
Nicolas Sarkozy ( France ) - age 55
Luis Zapatero ( Spain ) - age 49
Jose Socrates ( Portugal ) - age 53
Angela Merkel ( Germany ) - age 56
Herman Van Rompuy ( Belgium ) - age 62
Average Age: ==================== 51.1
Approximately 51 years
______________________________
DIFFERENCE: ==================== 25 years
Nashangaa leo kuna watu humu JF wanapiga kampeni eti Mwandosya, Sumaye and Lowasa waje kututawala in2015
Na kinachositikisha zaidi ni kuwa Cabinet ya JK haina mtu hata mmoja aliye na umri chini ya miaka 37!
Tanzania sasa ina populationa mabyo 70% wana umri chini ya miaka 30!
No wonder they care less about connecting with the masses. Rais hana website, MEMBE of all ministers ofisi yake haina website, PM (huyu atakuwa excused yuko bize analima) Waandishi wetu wa Habari, wako 2 decades behind, ndio maana wakienda kwenye Press Conference huwa hawaulizi hawa watawala kulikoni kuhusu haya mambo ya wizara husika kuwa na websites na namna ya ku connect na 70% of our population
Lakini ajabu ya dunia ni Ikulu kuwa na WEBSITE inaitwa blogspot!
GUYS, HOW DO WE MOVE FORWARD WITH THIS OLD SQUAD ?!!