sijakuelewa una maanisha nini hapo; utayari upi tena?
miaka 30 bado wasumbufu angalau miaka 50 ndio mambo yanakuwa yamewapungua
nakuunga mkono ... umesema vyema mwanaume akiwa china ya hapo anakuwa na shida akili bado inataka hili na lile... na kama anajitambua zaidi economically anakuwa kashajiset vizuri.. nikiwa na maana ameshatengeneza mazingira ya kupata income yake ya kila siku.... pia anaweza kuwa na asset moja au mbili ambazo anaweza kufanya maamuzi akiwa na kitu at least .... hata mimi siwezi kubali olewa na mtu under 30 mpaka afikishe 30 ndiyo aamue kuoa
Baba yangu aliozeshwa mke ambaye ni mama yangu akiwa na umri wa miaka 15, mama akiwa na 12
mtolewa hawa wa miaka 30 bado wanakula ujana....lolDemba mama acha vituko!
Ni mpango mzuri...hivi mfano umedate na mtu akiwa na miaka chini ya hiyo unayoitaka na mkapendana haswaa,akaamua kutangaza ndoa na ukicheki anakama miaka 3 hivi ndo agote hiyo 30,utamwambia asubiri ama itakuaje hapo?
kwa nini unadhani hivo asa?
1 THE. 4:3-5, 7-8
Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na uasherati;(uzinifu) kila mmoja wenu ajue kuuweza mwili wake katika utakatifu na heshima; si katika hali ya tamaa mbaya, Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso. Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.
When you feel it's ok...just do it!!
Nimetumia dakika kadhaa baada ya kuandika hii title nikiplan nianzeje huu uzi ili watu wanielewe. Hata hivyo nimegundua kuwa itakuwa ngumu sana, ingawa no ukweli.
Vigezo nilivyotumia kuwaza miaka 30 ni experience niliyo observe kwa ndugu, jamaa, marafiki na watu wengine ambao nimepata kufahamu mambo kadhaa kuhusu ndoa zao. Lakini pia experience ya mimi mwenyewe.
Najua mmeshajiuliza kwa mfano ni kwa nini katiba za mataifa mengi zinaweka kigezo cha umri (ambacho mara nyingi kiko juu kuliko kile cha kutambuliwa kama "mtu mzima") kwenye uraisi, na nafasi nyingine za kiutawala.
Sasa basi kwa mazingira ya kitanzania, na kwa uzoefu wangu katika mazingira hayo, mwanaume anayeweza kudili na "milima na mabonde" ya ndoa angalau kwa accuracy ya 60% (usiniulize kwa nini nimeweka cut point iwe 60), lazima awe amepevuka kiakili "sawa na mtu mwenye miaka 30".
Najua exceptional zipo (+ or -) kwa kuwa jamii iko normally distributed katika hili, na pia kwa kuwa umri sio kigezo pekee cha kupevuka kwa akili but all in all, majority ya wanaume wanakuwa matured enough (kiakili) kuweza kuoa na kuongoza vyema familia at 30.
miaka 30 bado wasumbufu angalau miaka 50 ndio mambo yanakuwa yamewapungua