Umri wa kuoa ni miaka 30

Umri wa kuoa ni miaka 30

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,354
Nimetumia dakika kadhaa baada ya kuandika hii title nikiplan nianzeje huu uzi ili watu wanielewe. Hata hivyo nimegundua kuwa itakuwa ngumu sana, ingawa no ukweli.

Vigezo nilivyotumia kuwaza miaka 30 ni experience niliyo observe kwa ndugu, jamaa, marafiki na watu wengine ambao nimepata kufahamu mambo kadhaa kuhusu ndoa zao. Lakini pia experience ya mimi mwenyewe.

Najua mmeshajiuliza kwa mfano ni kwa nini katiba za mataifa mengi zinaweka kigezo cha umri (ambacho mara nyingi kiko juu kuliko kile cha kutambuliwa kama "mtu mzima") kwenye uraisi, na nafasi nyingine za kiutawala.

Sasa basi kwa mazingira ya kitanzania, na kwa uzoefu wangu katika mazingira hayo, mwanaume anayeweza kudili na "milima na mabonde" ya ndoa angalau kwa accuracy ya 60% (usiniulize kwa nini nimeweka cut point iwe 60), lazima awe amepevuka kiakili "sawa na mtu mwenye miaka 30".

Najua exceptional zipo (+ or -) kwa kuwa jamii iko normally distributed katika hili, na pia kwa kuwa umri sio kigezo pekee cha kupevuka kwa akili but all in all, majority ya wanaume wanakuwa matured enough (kiakili) kuweza kuoa na kuongoza vyema familia at 30.
 
mmmh, kwa mujibu wa nani?
Asprin aliniwowa akiwa.27, hadi leo tuko pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Asprin ni kama Taribo West... alirewind umri ili umuone kijana wakati huo akiwa na 39...lol
mkuu kuna situation lazima udanganye umri bila hivo utakuwa unajiblock mwenyewe
 
nakuunga mkono ... umesema vyema mwanaume akiwa china ya hapo anakuwa na shida akili bado inataka hili na lile... na kama anajitambua zaidi economically anakuwa kashajiset vizuri.. nikiwa na maana ameshatengeneza mazingira ya kupata income yake ya kila siku.... pia anaweza kuwa na asset moja au mbili ambazo anaweza kufanya maamuzi akiwa na kitu at least .... hata mimi siwezi kubali olewa na mtu under 30 mpaka afikishe 30 ndiyo aamue kuoa
 
Back
Top Bottom