Ndugu zangu wana jf naombeni msaada. Eti ni umri gani unafaa kumtahiri mtoto wa kiume? Kuna mtu kasema kumtahiri akiwa mdogo sana yaani below 1year ndiyo nzuri na kwamba kumtahiri baada ya hapo anaweza kupata effect ya nguvu za kiume in future, hapo pana ukweli wowote?
Naomba kufahamishwa.
Naomba kufahamishwa.