MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
Huku sionagi wacha Mungu aiseee manka
Yeye anahakika atampa tumuombee
Huku sionagi wacha Mungu aiseee manka
Yeye anahakika atampa tumuombee
Dada una maelezo mazuri kwelikweli, ila umenichosha kwamba wa kanda fulani ndo watafikiriwa! Swali langu kwako ni, kwa maelezo yako ni kama vile unasubiri idadi fulani katika kapu lao na ndo uchague yup ndo atakufaa, sasa idadi yhalisi unayotegemea kwa kapu lako ni ipi?
Anatoa nafasi kwa watz wote msije kusema oooooh mi tangazo halijanifikia
Aiseee sina habar
Haya vijana majasiri wa kanda ya ziwa mchangamkie fursa hiyo....
Hehhe nlikua sijui ka unatumia jaman... ila weekend ndefu hii, lazima nkutafute!!!
Ngoja kabisa nitoe order natumia red lebel so be prepared😀😛😀🙁🙁
hahha usijari... leo tu nimezileta home, itabid uje uzipigie huku!!!
Wakati mpo chuoni mnajifanya hamtaki wanachuo wenzenu kisa hawana pesa mnatoka na mababu.mkimaliza chuo ndio mnajua kutafuta wa kuwaoa.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaotafuta wanaume kwenye maharusi,mitandao ya kijamii au makazini,vyuoni walikuwa wanabadilisha wanaume kama Nguo.nakumbuka wife material karibu wote huwa wanamaliza na wachumba wa kueleweka
Anatoa nafasi kwa watz wote msije kusema oooooh mi tangazo halijanifikia
Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha thread humu, nina umri wa miaka 24. Elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa jijini mwanza, dini yangu ni rc. Ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde pia sina mtoto wala cjawahi kuolewa. Kwa umri huu najitokeza kutafuta mume kigezo kikubwa awe na hofu ya mungu, awe ameajiriwa au kujiajiri. Sichagui dini wala kabila. Waishio maeneo ya kanda ya ziwa hasa Mwanza watapewa kipaumbele. Matusi na kejeri sitaki tafadhali, kama hauna hoja pita kimya kimya tu! Thanx
Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha thread humu, nina umri wa mjiaka 24. Elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa jijini mwanza, dini yangu ni rc. Ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde pia sina mtoto wala cjawahi kuolewa. Kwa umri huu najitokeza kutafuta mume kigezo kikubwa awe na hofu ya mungu, awe ameajiriwa au kujiajiri. Sichagui dini wala kabila. Waishio maeneo ya kanda ya ziwa hasa Mwanza watapewa kipaumbele. Matusi na kejeri sitaki tafadhali, kama hauna hoja pita kimya kimya tu! Thanx
Wakati mpo chuoni mnajifanya hamtaki wanachuo wenzenu kisa hawana pesa mnatoka na mababu.mkimaliza chuo ndio mnajua kutafuta wa kuwaoa.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaotafuta wanaume kwenye maharusi,mitandao ya kijamii au makazini,vyuoni walikuwa wanabadilisha wanaume kama Nguo.nakumbuka wife material karibu wote huwa wanamaliza na wachumba wa kueleweka