MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
Aya ngoja waje mwaya..all the best Ila najiuliza makanisa yote ya mwanza hamna mpaka uje huku?
Mkuu maswali ya kizushi hayaruhusiwi
Aya ngoja waje mwaya..all the best Ila najiuliza makanisa yote ya mwanza hamna mpaka uje huku?
Dada una maelezo mazuri kwelikweli, ila umenichosha kwamba wa kanda fulani ndo watafikiriwa! Swali langu kwako ni, kwa maelezo yako ni kama vile unasubiri idadi fulani katika kapu lao na ndo uchague yup ndo atakufaa, sasa idadi yhalisi unayotegemea kwa kapu lako ni ipi?
kila sifa ninazo, bahati ilioje!!! jina lako tu hapo juu ndo linanitatiza....
I 4 2
Imekata poa sister .muombe. Mingus
Atakusaidia
Mkuu kamata fursa.. Afu najiuliza umeenda lini kanda ya ziwa
fulsa ndo nshaishikiria hapa!!!! lake zone mbona kitambo tu, nipo kwenye sangara huku...
tatizo wanaweza wakamuua unajua hawa jamaa miili mikubwa akili kidogo
wao miguvu kulukundu wanaweza wakamchoma au kumkata mapanga bora mkuu ujitwalie jiko
Mkuu maswali ya kizushi hayaruhusiwi
Kwa hiyo unataka wanaume wa dar wakae pembeni
Kwa hiyo siku hizi umeamua kunichunia?Poa bwana
aaah nkuchunie naubavu basi!!! nlijua utakua busy na shem nanii kwenye xmas na nyu yia.... mzima lakin
Mie mzima sana.Nikasubiri kupata ofa ya hata ya moja moto moja baridi ndani ya kiti kirefu lakini wapi???
Aya ngoja waje mwaya..all the best Ila najiuliza makanisa yote ya mwanza hamna mpaka uje huku?
fulsa ndo nshaishikiria hapa!!!! lake zone mbona kitambo tu, nipo kwenye sangara huku...
humu JF Utapata wauongo tu. eti 'MSHUBI WA LULENGE', jina tu linatisha ndo maana umri unaenda dada. Nakushauri ujiite angalau 'BABY'