Mi ningependa kupishanisha one year.., vp inakaaje wakuu?doooh...hapo gap kubwa sana!Mi napendelea 3 years...wanakua pamoja, sio wapishane sana mpaka hata hawawezi kucheza pamoja!!!Ni mtazamo tu..
Hapo inategemea amezaa kwenye umri gani.
kwa kuassume hamna tatizo,kama kuna tatizo inakuwa ngumu.HII HAINA FOMULA,KILA MTU ANA MTAZAMO WAKE NA WENGINE WANAPATA MIBA KWA BAHATI MBAYA ILHALI WENGINE WANATAFUTA MIMBA KWA MIAKA KADHAA
inategemea
ni kweli ila kwa mwanamke kama uliolewa una miaka my be 33 ukizaa mara moja tu basi unakuwa umri umeenda sana na ukisema unazaa baada ya miaka mitano inamaana utazaa ukiwa na miaka 39 umri ambao unatakiwa kumpuzika, ila mie nimeolewa nikiwa na miaka 21 nimezaa watoto watatu kwa kuachanisha miaka miwili miwili na sasa first born ana miaka 9,7 5 nakula raha sana.
Wanajamvi hivi ni umri/muda gani wa watoto wanaozaliwa wanastahili kupishana kati yao ili waweze kupata vizuri huduma stahiki na mpango mzima wa afya zao?Je kuzaa nako kunastahili kuzingatia umri?
Miaka mitano (2) ndo sahihi kabisa.
Very good comment mkuu.Watoto wakipishana sana kuna athari kimalezi. Mtoto anayepata mdogo wake after say 5 years ni sawa na mtoto aliyezaliwa peke yake. Anakuwa spoiled kind of, na anaweza kumchukia mdogo wake. Kwa hiyo nakubaliana na wanaosema watoto wanatakiwa wasipishane sana ili wawe wanacheza pamoja na kujifunza ku share. Nimeshaona design zote mbili (waliopishana sana na waliokaribiana) na nadhani ni vizuri watoto wasipishane sana. Faida nyingine ni kumaliza biashara ya kuzaa na kuanza ku enjoy life. It is real hard kwa mama kufikiri kuzaa baada ya muda mrefu kupita. Kuzaa ni kazi bora mtu umalize maisha mengine yaendelee, including career development.
nafikiri inategemea na huyo mtoto aliyetangulia alikuwa anapewa malezi ya vipi. Mdogo wangu anayenifatia tumepishana zaidi ya miaka kumi na ninampenda sana tena sana.Watoto wakipishana sana kuna athari kimalezi. Mtoto anayepata mdogo wake after say 5 years ni sawa na mtoto aliyezaliwa peke yake. Anakuwa spoiled kind of, na anaweza kumchukia mdogo wake.
nafikiri inategemea na huyo mtoto aliyetangulia alikuwa anapewa malezi ya vipi. Mdogo wangu anayenifatia tumepishana zaidi ya miaka kumi na ninampenda sana tena sana.
Current population 44millioni; birth rate 2% (UN), . MMOJA ANATOSHA !