Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

Na kuna habari kuwa eti mtoto akitahiriwa wazazi mnatakiwa msikutane kimwili hadi mtoto apone, jee hii nayo ina ukweli wowote?
 
Na kuna habari kuwa eti mtoto akitahiriwa wazazi mnatakiwa msikutane kimwili hadi mtoto apone, jee hii nayo ina ukweli wowote?
Mkuu hiyo nayo iasemwa sana eti ukila tunda la katikati wakati mtoto katahiriwa basi haponi haraka na atapata matatizo
 
Jaribu jaribu, unaweza kupewa cheo cha uchungaji utakayespeshalaizi kwenye ukusanyaji sadaka (huyu askofu wetu ni kama mbayuwayu)

Wakusanyaji sadaka wapo, asante lakini kwa kutangaza nia (watu wengine wakikosa kuolifikesheni wanaanza kutafuta visingizio... Mix with yours... lol
 
Ni kweli mhashamu, huwa anakeketwa. Sasa hebu mjibu huyu muumini hapa chini basi.....

X-pin, u need serious prayers... nitafunga kwa ajili yako (I will skipu divai for few days...lol)

Engineer2, kuhusiana na hilo sina uhakika... labda wenye imani za kidunia zaidi kama Chrispin anaweza kukusaidia
 
X-pin, u need serious prayers... nitafunga kwa ajili yako (I will skipu divai for few days...lol)

Engineer2, kuhusiana na hilo sina uhakika... labda wenye imani za kidunia zaidi kama Chrispin anaweza kukusaidia

asante mhashamu baba askofu, vipi maandiko hayasemi lolote juu ya hii?
 
Muda mzuri ni wiki chache baada ya kuzaliwa, wakati mtoto hajaweza kujigeuza geuza. Hii inasaidia kutojiumiza, na uponaji wake ni wa haraka.

Njia bora ni ya kiplastik ulioitaja - less pain; watoto wengine hata kulia hawalii, kupona kwake ni average 1 week, wengine 3 to 4 days na salama kabisa. Ile ya kushonwa/kukeketwa ni painful, inachukua muda kidogo kupona.

Mengine ulioyauliza kuhusu kushindwa shughuli ndio kwanza niyasikie, wenye habari watakueleza, binafsi siamini.
 
asante mhashamu baba askofu, vipi maandiko hayasemi lolote juu ya hii?
Hahahahaha! Mhandisi hebu stuka japo kiduchu. Huyu askofu unamjua vema? Hebu msome hapo chini hasa hapo kwenye red.

X-pin, u need serious prayers... nitafunga kwa ajili yako (I will skipu divai for few days...lol)

Engineer2, kuhusiana na hilo sina uhakika... labda wenye imani za kidunia zaidi kama Chrispin anaweza kukusaidia
Kwa sisi watu wa mataifa, hakuna andiko lolote linalokataza mtu kupakuana na mwenzie kwa sababu tu eti mtoto katahiriwa. Yaani mtoto kalala pembeni anaugulia maumivu, wazazi wako bize kumtafutia mdogo wake..............Ruksaaaa!
 
Mhashamu baba/mama askofu, ni umri gani sahihi wa kumtahiri mtoto wa kike?

Sasa hapo unataka watu wasakwe na wanaharakati. Si kila jambo lazima muchangie hoja.

Xpin ametoka kumalizia hiyo glass kuweni makini na huyu kiumbe.
 
hapo juu hebu rudini kwenye thread na nyie, wane vileee.
Dah! Umeshakuja? Ngoja nisepe.....

BTW ulishawahi kumuuliza Mr. wako alitahiriwa akiwa na umri gani? Vipi unai-judge vipi pafomensi yake kwenye matusi, inawezekana pafomensi yake ikawa na rilesheni na umri aliokatwa ngozi ya filimbi yake (nadhani hapa niko kwenye thread kabisa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…