Ndio nilikuwepo , turudi kwenye swali la msingi hao watu kwenye picha wako wapi mjinga wao?Ulikuwepo wakati wa maandamano ya mwembechai?
Jibu swali langu mjinga wao, hao watanganyika wenzetu pichani wapo wapi?Unajua idadi ya watumwa waliochukuliwa utumwani kabla ya uhuru?
Nimekuuliza kuhusu watumwa waliopitishwa bagamoyo walikuwa wangapiJibu swali langu mjinga wao, hao watanganyika wenzetu pichani wapo wapi?
Kuna watanganyika hapo wana miaka 9 hadi mwingine siku ya 8 sasa hatujui walipo.
Elezea wako wapi.
Usipanue domo lako kusema kuna umoja wakati wenzetu tulio nao tunasema ni wamoja hatujui walipo.
Be focused.
Wewe unawajua?Nimekuuliza kuhusu watumwa waliopitishwa bagamoyo walikuwa wangapi
Kuanzia miaka ya 1800 hadi 1890, soko la watumwa la Zanzibar lilikubwa kubwa kulizo yote duniani. Kati ya watumwa 25000 – 50000 wa Kibantu waliletwa ili kuuzwa kwenda pwani ya Somalia na sehemu nyingine. Wengi wao walitoka katika makabila ya Wamakua, Wanyasa, Wayao, Wazaramo na Wazigua ambao ni makabila ya Tanzania, Msumbiji na Malawi za leo.....imetoholewa kutoka GOOGLEWewe unawajua?
Kwahiyo unalinganisha ukatili wa waliokuwa wanachukua babu zetu kama watumwa na zama hizi watanganyika wenzetu wanavyouawawa kikatili ili kuwalinda majizi na mafisadi?
Ok, nitajie mimi majina ya watumwa watano tu waliosafirishwa kutoka Bagamoyo kwenda nje ya Tanganyika.
Nami nitakuwekea picha na majina ya watanganyika watano waliopotelea Tanganyika unieleze wako wapi.
Challenge accepted.
Twende kazi jinga lao.
Mkuu mbona unastory zakish_o_gashoga sana aisee , anyway kwani nini msingi wa hoja yako?Kuanzia miaka ya 1800 hadi 1890, soko la watumwa la Zanzibar lilikubwa kubwa kulizo yote duniani. Kati ya watumwa 25000 – 50000 wa Kibantu waliletwa ili kuuzwa kwenda pwani ya Somalia na sehemu nyingine. Wengi wao walitoka katika makabila ya Wamakua, Wanyasa, Wayao, Wazaramo na Wazigua ambao ni makabila ya Tanzania, Msumbiji na Malawi za leo.....imetoholewa kutoka GOOGLE
wewe unayejidai mwanaharakati ningeona una akili kama ungedai hawa maelfu ya watumwa ndugu zetu ambao wamepotea na kupotezwa na walami.
Swali langu la kwanza hujalijibu jinga lao.Kuanzia miaka ya 1800 hadi 1890, soko la watumwa la Zanzibar lilikubwa kubwa kulizo yote duniani. Kati ya watumwa 25000 – 50000 wa Kibantu waliletwa ili kuuzwa kwenda pwani ya Somalia na sehemu nyingine. Wengi wao walitoka katika makabila ya Wamakua, Wanyasa, Wayao, Wazaramo na Wazigua ambao ni makabila ya Tanzania, Msumbiji na Malawi za leo.....imetoholewa kutoka GOOGLE
Ok , unatoka nje ya mada wapi mimi nimesema ni mwanaharakati?wewe unayejidai mwanaharakati ningeona una akili kama ungedai hawa maelfu ya watumwa ndugu zetu ambao wamepotea na kupotezwa na walami.
Wakati wa ukoloni hakukuwa na gadgets za kuwezesha kuchukua picha.Lakini wengi wa watanganyika walichukuliwa utumwa,waliteswa na wengi walikufa.Swali langu la kwanza hujalijibu jinga lao.
Mimi sijakuomba data kutoka google, sijakuomba data za Somali , Zanzibar, Wayao, Wamakua w wala wabantu wengine nimeomba data za watanganyika tu narudia tena utoe picha walau 5 na majina ya watumwa wa Tangayika wakisafirishwa kwenda uhamishoni.
Wewe maswali haya kwako hujayaelewa na ni rahisi au na wewe elimu yako ni ya mafunzo mbali mbali chuo cha utumishi Pakistan?
Naomba picha 5 na majina ya watumwa waliopelekwa utumwani.
Ok , unatoka nje ya mada wapi mimi nimesema ni mwanaharakati?
Kuwa mwanaharakati ni kosa?
Hujui Nyerere alikuwa mwanaharakati wa kupinga ukoloni?
Ok mimi nakuwekea picha zaidi ya 5 View attachment 3488492 za watanganyika wenzetu ambao wamepotezwa na watanganyika wenzetu na sio watu kutoka Asia , Ulaya au Amerika
Sasa je tuelezane tunaweza kusema sisi ni wamoja kama miongoni mwetu wanapotea watu na tusijue walipo?
Biashara ya utumwa na utekaji ni sawa?Wakati wa ukoloni hakukuwa na gadgets za kuwezesha kuchukua picha.Lakini wengi wa watanganyika walichukuliwa utumwa,
Je biashara ya utumwa kama ilikomeshwa kwanini utekaji na mauaji visikomeshwe?waliteswa na wengi walikufa.
kama wewe ni mwanaharakati mzalendo ungejikita katika kujua whereabouts za wazee wetu hawa ili tujenge na kuanzusha kesi dhidi ya walami waliodhulumu utu wa wazee wetu kwa maelfu.
Wapi mimi nimesema ni mwanaharakati?usiwe mwanaharakati feki anayetumika kuendelea kuvuruga efforts za CCM Mkombozi wetu kutoka utumwani huo ni uhaini wa hali ya juu.
CCM ni msingi wa ukombozi na uhuru wa Tanzania !Biashara ya utumwa na utekaji ni sawa?
Je biashara ya utumwa kama ilikomeshwa kwanini utekaji na mauaji visikomeshwe?
Wapi mimi nimesema ni mwanaharakati?
CCM ipi hiyo ni mkombozi wa umma?
CCM ambayo inateka watu ambao wanakemea ufisadi na wizi na mafisadi na majizi wanaachwa huru bila kuchukuliwa hatua stahiki za kisheria?
Ukombozi wa CCM ndio kutumia polisi kupoteza wakosoaji?
Ukombozi wa CCM ni kutumia mabilioni kutengeza upinzani feki wa CHAUMMA na vyama vingine shikizi ili ionekane kuna uchaguzi huru?
Come again jinga lao.
Wanakomboa kitu gani?CCM ni msingi wa ukombozi na uhuru wa Tanzania !
CCM haikuleta uhuru , Tanzania ilikuwa chini ya uangalizi wa muingereza baada ya kuwa koloni la Ujerumani kabla hivyo walipokuwa tayari walipewa.CCM ndio iliyoleta uhuru tulionao sasa.
CCM inaweza kuwa na mapungufu yake machache ambayo yanatakiwa kusemwa na kupigiwa kelele kwa utaratibu demokrasia na haki.
Wahuni ni mafisadi , majizi , watekaji na wahuni hao wamo CCM hata mwanaccm na balozi mstaafu Polepole mliyemteka na kumpoteza mara zote alikuwa akisema hivyo.Kamwe tusiruhusu wahuni warudi kuivuruga CCM imara na kamwe tusiruhusu CCM ianguke kwa hujuma za walami