Mpendwa_Ellie
Member
- Jul 8, 2012
- 6
- 1
Umoja wa Maendeleo
Nahitaji anzisha Chama cha kijamii katika Kata yangu ambacho hakitakuwa na itikadi yoyote ya kisiasa, jinsia wala rangi ni kwa ajili ya kuhamasisha maendeleo katika kata yetu. Tatizo nililonalo ni kuwa sijui taratibu za kuzifuata ili kuanzisha huo Umoja wa Maendeleo ya Kata. Naomba kwa yoyote mwenye ufahamu wa jinsi ya kuanzisha na kuendesha Umoja wa maendeleo wa Kata anipe darasa. Thanx in advance.