Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,369
- 217,420
sawa mkuu .Siaminigi sana matukio
sawa mkuu .
Katika waliokutana hakuna anayehofia kufungwa , kwa hiyo kwenye kikao hiki kauli za jiwe kwa Lowassa si ajendaSafi sana huenda ni Mwendelezo mkono wa Amani maelekezo ya H.E JPM kwa mzee Lowasa.
tambua kwamba wabomoaji wanalindwa , bali wanaojenga wanashambuliwa .Lengo ni kujenga taifa letu na si kulibomoa
tambua kwamba wabomoaji wanalindwa , bali wanaojenga wanashambuliwa .
uko sahihi .Safi sana naamini ni kikao kwa manufaa ya wananchi wa nchi hii
Muungano wowote unatakiwa Maalim seif Mbowe na hao wengineo.
Halafu sisi kazi yetu ni kuyang'amua mapandikizi na kuyadunga sindano ya uzezeta kama walivyomfanyia Lowassa
Lowasaa alichomwa sindano,natunajua ni dawa gani iliyotumika,na kama makamanda mtakumbuka wakati wa kampeni hata kwenye mahojiano ya BBC kiswahili nilikuwa nimekaa na jammaa zangu wakimcheka.
Safari hii tuwe makini sana.
nani kakudanganya ?Mshamsahau Mbowe
Wewnani kakudanganya ?