Maisha ya mwanadamu huwa ni ya kuangaika/kutafuta na baadaye aweze kuburudika.Wengine uweka bajeti kwa kudunduliza kidogo kidogo na hatimaye wanakamilisha furaha yao katika kusherehekea kile walichokipanga.Kila mwisho wa mwaka huwa kuna sherehe nyingi na huwa zinawapa faraja na matumaini karibia binadamu wote katika hii dunia.Wenzetu wa mataifa mengine wana ule utaratibu wa kuweka akiba ili mwisho wa siku mambo yaende sawa.Kwangu binafsi bado napambana angalau niweze hata kununua soda siku hizo zikifika.Je wewe umebajeti kutumia kiasi gani?
Nimetengeneza Kibubu tangu ilipoisha sikukuu ya Pasaka na ninaweka kila siku kuanzia buku mbili, nikikosa sana buku.Nitakifungua kwenye Xmas na sherehe hizo zikiisha natengeneza kingine kwa ajili ya Pasaka
Nimetengeneza Kibubu tangu ilipoisha sikukuu ya Pasaka na ninaweka kila siku kuanzia buku mbili, nikikosa sana buku.Nitakifungua kwenye Xmas na sherehe hizo zikiisha natengeneza kingine kwa ajili ya Pasaka
Nimetengeneza Kibubu tangu ilipoisha sikukuu ya Pasaka na ninaweka kila siku kuanzia buku mbili, nikikosa sana buku.Nitakifungua kwenye Xmas na sherehe hizo zikiisha natengeneza kingine kwa ajili ya Pasaka