Umewahi piga/pigwa chabo katika faragha

Umewahi piga/pigwa chabo katika faragha

Siku moja nikiwa na watu wangu wa kitaa, waliniforce tukazunguke zunguke kubadilisha tu hali ya hewa,.

Siku hio sikuwa poa sana nilikuwa kwenye hali flani ya kauvivu uvivu iv, lakn kutokana ba kampani yao tukasepa, sasa kufika maeneo flani ivi ya kujidai, tukasikia makelele kibao.

Watu wamepiga vyombo vyao wanashangilia mbaya, moyoni nikasema ohhh bora nimekuja naona leo pamechangamka mbaya ningekosa uhondo wa leo.

Wakati tunasogea karibu na hio bar, makelele ndo yanazidi, tukaingia ndani kujumuika.

Alahaullaaaa Nilishangaa kuona walevi wamemparamia shangazi yangu flani ivi kila mtu ameshika anapojua yeye, alaf shangazi anapiga kelele za furaha kinoma,

Nilichosikia akisema ni , nmwaga namwaga.

Daadeki nilipatwa sijui na wenge gani nikageuka bila kuaga mtu nakurudi zangu home nikalala.

Kesho yake shangazi akaja kusalimia home, hajui mm nilimuina usiku akishikwashikwa, nikajisemea mwenyewe Shangazi ni Shangazi hata awe vip.
 
Hujui mazingira yalivokua.
Mtoto kawaida akitoka shule alikua na desturi ya kuja chumbani kuchukua hela ya tusheni. Namaanisha nauli. Hata kama sipo anajua napomuwekeaga.

Afadhali hata sikumuona, maana angenikatisha stimu zote, na siku hiyo nilikuaga na nyegge kweli.
Dah.! Mama Debora jamani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msela wangu flani wakati tupo chuo akisikia ume-import mzigo na kuwapiga-exile room mate wako hatalala hata kama mtagegedana usiku wa manane hadi awapige chabo yuko tayari kubeba kiti aje kuchungulia juu ya mlango kwenye Vent si mnajua mapazia yanaanzia juu ya mlango na sio kwenye vile vitundu juu ya mlango. huyu jamaa bhana wanachuo wote tulikuwa tuna mjua kwa tabia hii. saivi ni bonge la bosi, nahisi atakua ameacha.
 
Back
Top Bottom