Nakumbuka nilipanga kwa dharura kama miezi sita hivi maeneo ya kurasini, na kwenye hiyo nyumba alikuwepo mfanyakazi mwenzangu pia walikuwepo wapangaji kutoka nchini Rwanda ambao walikuwa wakikaa pale kusubiria kupakia mizigo bandarini.
Siku moja bhana nikatimba na demu wangu mmoja hivi toto la kichaga mwili mkubwa halafu kaenda hewa kimtindo, niliwakuta jamaa pale tukawasalimia tukazama zetu ndani.
Nafikiri walijiuliza huyu mshikaji na hili dude ataliweza kweli? Sasa kutaka kujiridhisha na swali lao ndio ikapelekea kuja kunipiga chabo.
Nakumbuka nilikuwa napiga ile style ya mkasi sasa nataka kubadili nipige style yangu matata sana TAKEU,nikahisi kitu ile kuangalia dirishani mda huo liko wazi nakuta jamaa anacheki burudani mara akatoweka.
Kesho yake nikamwambia mfayakazi mwenzangu night kuna watu walikuwa wananipiga chabo, "jamaa akaniambia nimewasikia wanyarwanda wakihadithiana kwamba jamaa ni munoma, jamaa anakata mauno ni hatari, watz ni wanajua kutohombana" kumbe ni wewe hahahaha akanicheka eti.