Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Ndio nyau dume wee jike .Nyau weh
Ndio nyau dume wee jike .Nyau weh
Umenishinda tabiaNdio nyau dume wee jike .
Huhuhu tumeshindwana tabiaUmenishinda tabia

Unanichokoza eehHuhuhu tumeshindwana tabia![]()
Sio uchokozi, najiwazia tu hapa siku nitakayokuona kaa mara ya kaanza et eehhhUnanichokoza eeh
Hahahahaha ukasikia analitekenya zeze?Sungusungu sijui spidi yao wanaitoa wapi. Enzi hizo hapa mtaani kulikua na askari anaitwa sura mbaya.
Mimi mdogo tu. Night kali tunarudi mitaa ya home kufika sehemu hivi kuna uwanja tunaliona difenda, tukageuka tutafute ruti nyingine. Kumbe wanatuchora, ile tunapiga hatua kadhaa ghafla askari na sungusungu wakatuungia.
Hapo ilikua pale Makaburini mwananyamala, tukavamia makaburi tukawa kama tunaenda uelekeo wa kwa mzee Madai/ Biafra.
Tulikua kundi la watu kumi lakini ghafla nashangaa ile ruti niliyochagua nipo mimi na A. Tukafika ukuta wa nyumba ya mzee Madai A akaurukia kachupa yupo ndani mimi kurukia kukanishinda, kimo hakiruhusu.
Nikiwa najaribu kukanyaga matofali nipande juu namsikia Sura Mbaya anatishia kunishuti huku anakoki jegeja. Nikawa mpole. nikapelekwa mahabusu nikalala kesho nikafuatwa.
Vifungo vya nafsi, nidadavulie mwalimu wangu.Hamna vifungo vibaya kama vifungo vya nafsi. Wengi wamo kwenye vifungo vya nafsi, hilo jela mpaka uje ujikomboe ni mpaka kwa nguvu nyingi ya juu zaidi.
Naandaa notice.Vifungo vya nafsi, nidadavulie mwalimu wangu.
Sungusungu sijui spidi yao wanaitoa wapi. Enzi hizo hapa mtaani kulikua na askari anaitwa sura mbaya.
Mimi mdogo tu. Night kali tunarudi mitaa ya home kufika sehemu hivi kuna uwanja tunaliona difenda, tukageuka tutafute ruti nyingine. Kumbe wanatuchora, ile tunapiga hatua kadhaa ghafla askari na sungusungu wakatuungia.
Hapo ilikua pale Makaburini mwananyamala, tukavamia makaburi tukawa kama tunaenda uelekeo wa kwa mzee Madai/ Biafra.
Tulikua kundi la watu kumi lakini ghafla nashangaa ile ruti niliyochagua nipo mimi na A. Tukafika ukuta wa nyumba ya mzee Madai A akaurukia kachupa yupo ndani mimi kurukia kukanishinda, kimo hakiruhusu.
Nikiwa najaribu kukanyaga matofali nipande juu namsikia Sura Mbaya anatishia kunishuti huku anakoki jegeja. Nikawa mpole. nikapelekwa mahabusu nikalala kesho nikafuatwa.

sante kwa kunipunguzia stressgahawa hii mkuuNilishawahi kuwekwa lockup walivyoondoka wale walioniweka wale maaskar wakanitoa tukawa tunapiga stor huku tukishushia na lager nyama ya mbuzi ikiwa jikon nyuma ya kituo cha msimbaz.