Umewahi kupatwa na hali ya kutamani maisha ya utotoni?!

PetCash

JF-Expert Member
Mar 20, 2012
1,997
1,999
So I'm driving home (Yes this early) and I think;

Nina familia (mke na watoto). Siwezi kusema ni mkongwe kwenye ndoa, hapana ila nimekaakaa. I love my family. Nina mke mpambanaji, and yes she is a beauty (Kwa mimi lakini :) ). Naweza kusema familia yangu ni familia ambayo mwanaume wa kawaida (an average man) angependa kuwa nayo. I thank God For this.

Maisha yetu ni ya kawaida, double income from working class couple. Kuna stress za hapa na pale na pia ndoa ina kupanda na kushuka (Sio tambarare wala mteremko kila mara). Nimeridhika na familia niliyonayo na nimeridhika na kipato tulicho nacho.Hakuna shida yoyote kati yetu wala katika maisha yetu. So naweza sema financially, socially and in marriage issues we are very fine.

Ila sasa niko very stressed na maisha ya kwenda kazini kila alfajiri, jam, maisha ya barabarani na kwene daladala mpaka na miss maisha ya utoto. Its like when I was young (Hapo tunacheza mpira one touch) and wakati giza linaingia and I would hear the voice of my mother calling keni, get back home its getting dark!! (Nimekulia mjini lakini this should be in our tribal language)
It really makes me want to say f*ck all this and go back home!

Nisameheni kwa kiswanglish
 
Mkuu unataman kuludi utotoni. Nahisi kuna kitu uli miss kukifanya wakat bado upo mdogo..

Aisee polee maisha hayalud nyuma!
 
Mmh. Hii yako ni kali Mkuu. Ila jifunze kupenda kusogea mbele zaidi na sio kurudi nyuma.

Mie sijawahi waza kurudi nyuma aiseee. Sababu naona nina mengi ambayo nilikuwa nayakosa nikiwa mdogo.
Kimojawapo ni dyudyu
 
So I'm diving home (Yes this early) and I think;

Nina familia (mke na watoto). Siwezi kusema ni mkongwe kwenye ndoa, hapana ila nimekaakaa. I love my family. Nina mke mpambanaji, and yes she is a beauty (Kwa mimi lakini :) ). Naweza kusema familia yangu ni familia ambayo mwanaume wa kawaida (an average man) angependa kuwa nayo. I thank God For this.

Maisha yetu ni ya kawaida, double income from working class couple. Kuna stress za hapa na pale na pia ndoa ina kupanda na kushuka (Sio tambarare wala mteremko kila mara). Nimeridhika na familia niliyonayo na nimeridhika na kipato tulicho nacho.Hakuna shida yoyote kati yetu wala katika maisha yetu. So naweza sema financially, socially and in marriage issues we are very fine.

Ila sasa niko very stressed na maisha ya kwenda kazini kila alfajiri, jam, maisha ya barabarani na kwene daladala mpaka na miss maisha ya utoto. Its like when I was young (Hapo tunacheza mpira one touch) and wakati giza linaingia and I would hear the voice of my mother calling keni, get back home its getting dark!! (Nimekulia mjini lakini this should be in our tribal language)
It really makes me want to say f*ck all this and go back home!

Nisameheni kwa kiswanglish
Hali hii inatokea sana brother...
Na kwa watu weng tu,
Mm nadhan fanya mawili..
1. Chukua likizo kwa muda
2. Motivate ur self, pengine umefanya kaz hiyo kwa muda mrefu, hujawa promoted au some sort of things kama hizo.
3. Anzisha business nyingine, ikufanye uwe busy.
 
Looks like umechoka routine na labda kazi yako pia yawezekana ni routine hence boring

Acha kazi uje mtaani ndo utajua maisha ni nini...Shukuru kwa ulichonacho..Maisha yanafanya watu vibaya mnoo wenzio wanatamani hio kazi na maisha mlonayo

Weekend fanya hzo activities za kucheza mpira,develop a hobby ifanyie kazi mf gardening,kilimo,invest more time in family,do charity nk
Js try kubadili ratiba kiasi hivi au kuipamba ratiba na mambo yanayokufurahisha
 
Usijali ndo majukumu hayo.. Nimependa unavoikubali familia yako esp mkeo.. Hongera sana..... Pia Pinga hio roho inayokurudisha nyuma
I like that code switch thou



Cc Smart911
 
Kuridhika ni chanzo kikubwa cha unavyojisikia. Badilisha "goal-posts" na uweke targets mpya na kubwa zaidi. Usipongalia siku moja unatoka mzigoni, unaweza simamisha gari na kuomba kujiunga na watoto wanaocheza tiari bado au cha ndimu mtaani.
 
Back
Top Bottom