Umewahi kukutana na huu Ujumbe..?

Umewahi kukutana na huu Ujumbe..?

Zekoddo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
1,873
Reaction score
4,580
Wakuu, kwa wale mliwahi kuomba "Vacancy transfer" Mshawahi kukutana na huu Ujumbe kama Mimi..?

Hawa watu waliotengeneza huu mfumo ni mashujaa sana 😂
markup_1000026193.png
 
Pole , ndio umekwama hivyo. Jitahidi upige miaka zao mitatu kisha usepe!
 
Naelekea kufunga mwaka wa tatu
Ok.. hapo sasa subiri tu tarehe yako ya kuajiriwa ili ufunge hiyo miaka mitatu..
Ikifika hiyo tarehe mfumo utakuruhusu automatic kuendelea na process
 
Back
Top Bottom