onlyalvira
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 1,495
- 3,101
Katika sehemu ya sms setting kuna sehemu una set sms kuwa delay kwa sekunde ngap au dk ngap,ni nzuri inasaidia sana
Ipo mkuu ila sijajua kama ni simu zote??hata mm naitumia hii imeniokoa sana nimeset delay sekunde 5Real!ngoja niitafute hiyo mkuu,inaweza nisaidia!
Smart mkuuKwenye hizi smart mkuu?au kwenye viswaswadu?najaribu kutazama hapa kwangu sioni!
Uongo. MuongoSmart mkuu
Hahaaaaaaanaomba jina alilokua anatumia facebook mkuuHiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
mara paaap!! Mamdogo kaelewa manenoMimi nilishatuma picha zangu za uchi kwa mama mdogo ambae tunaheshimiana vibaya sana! Nilikua nachati na mchepuko whatsap nikiwa naelekea bafuni kuoga, mchepuko ukaniambia hebu nikuone. Wakati huo huo mamdogo alikua kanitumia msg kuulizia maendeleo ya nyumba yake ambayo nilikua namsaidia kusimamia. Sijui ni shetani gani aliingia hapo kati nikajikuta zile picha nimetuma kwake tena na maneno ya kimahaba juu. Katika kupaniki badala ya kusema delete to all nikajikuta nime delete kwangu tu.
nimecheka jamaniii daaahHiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
HhaahahhahahaahHiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
DuhHiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
Ni kweli mkuu sasa,hyo hoja ya uongo ww umeotoa wap??na inategemea na aina ya simuUongo. Muongo
Ipo mkuu ila sijajua kama ni simu zote??hata mm naitumia hii imeniokoa sana nimeset delay sekunde 5
Hahahaahahah dah htr sanaHiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
Mbaya sana hiiii...Mimi nilimsevu demu jina baya kutokana na usumbufu na kero zake, sasa siku moja nimemtumia nyimbo zinachelewa kufika mtandao unasumbua.
Wakati anaendelea kulalamika mbona simtumii, ikabidi ni-screenshot nimuonyeshe nyimbo zinakuja tatizo ni network. Bila kujua akapokea picha ya screenshot na jina lake
Acha kuchatchat ovyo piga siku ukishajigundua unautopolo kichwaniNi juzi hapa nimetoka mizunguko yangu kama kawaida nikawa nachart chart na mtoto mzuri ili angalau aje jioni hiyo tupashe kidogo,basi wakati huo huo ikaingia sms ya mtumishi mmoja wa Mungu kanisalimu nami nikamjibu vizuri tu,sasa kumbe nimemtumia ile sms ya binti yeye,na ilikuwa mbayaa mno imejaa matusi!!walah nilitoka mpaka nje nijaribu kama ntaweza kuizuia lakini wapiiii!!na yeye hajanitafuta mpaka leo,na vile ninavyojulikana ni mtakatifu,sitaki hata kuonana nae!
Kisa kingine,hiyo nilikuwa nchart na jamaa yangu tunafanya kazi pamoja,sasa tulikuwa tunachart ishu za kazini tukimpaka boss wetu ambae ni mwanamke!basi bhana bila kutegemea shetani nae sijui huwa hana kazi za kufanyasi nikajisahau kwenye kureply si nikaisend kwa boss badala ya kuituma kwa jamaa!!siwez kusahau siku ile yaani njaa na tumbo la kuhara vilinikamata kwa mpigo!!japo yaliisha ila du!sitaki kumbuka!!
Vipi wewe ilikuwaje?