Umewahi kukosea kutuma Meseji?[emoji53]

Umewahi kukosea kutuma Meseji?[emoji53]

Hiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] dah ingawa ni chai nimecheka sana

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
Aisee ushamba mzigo.
 
Hiyo ya picha nakumbuka miaka hiyoo whatsapp bado,tunachat tu facebook,kuna binti alikuwa anasoma Arusha,hatujawahi kuonana ila kama ujuavyo mambo ya fb mnakuwa wapenzi bila hata kujuana!basi nkamuomba bi dada anitumie jitumbua!bhana weee!dada hajui namna ya kuituma inbox,si akaiweka pale kwenye wall yake!!!mi niingie nichek,nakuta kitu kiko public!!nikampigia chap!dada hajui kufuta!eti akalog out kwamba hawataona[emoji23]!yaan na mapenz yalikufa siku ile ile!!
Nileteeeni tumbuaaaaaaaaaaaaa
 
Mimi nilimsevu demu jina baya kutokana na usumbufu na kero zake, sasa siku moja nimemtumia nyimbo zinachelewa kufika mtandao unasumbua.

Wakati anaendelea kulalamika mbona simtumii, ikabidi ni-screenshot nimuonyeshe nyimbo zinakuja tatizo ni network. Bila kujua akapokea picha ya screenshot na jina lake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie kuna mtu tulikuwa tumpanga kumtapeli. Mimi na ndugu yangu kuna tuna chart Mimi na ndugu na jamaa. Si nikajichanganya ule mpango wote namwelekeza ndugu. Kutuma si nikatuma kwa mjamaa
 
Kitambo hicho kidgo tunatumia visimu vidgo plus wazaz hawataki umiliki simu wakiamin ni uhuni na unaweza kujihusisha na mambo ya ajabu

Nachat na mshikaji kuhusu dem aliyemfutialia kwa kipindi kirefu mara paap text ya Mshua "kazi niliyokupa umemaliza" na nyingine kutoka kwa mdau "oyaa yule demu kakubali ila kwa mbinde mnoo"

Kiwewe cha kujibu namtumia mshua text " Msnge msumbufu ww" na mshikaji namtumia " ndio nimemaliza"

Zile ndo zilikuwa text zangu za mwisho kumilik simu ile niliyopewa
 
Kitambo hicho kidgo tunatumia visimu vidgo plus wazaz hawataki umiliki simu wakiamin ni uhuni na unaweza kujihusisha na mambo ya ajabu

Nachat na mshikaji kuhusu dem aliyemfutialia kwa kipindi kirefu mara paap text ya Mshua "kazi niliyokupa umemaliza" na nyingine kutoka kwa mdau "oyaa yule demu kakubali ila kwa mbinde mnoo"

Kiwewe cha kujibu namtumia mshua text " Msnge msumbufu ww" na mshikaji namtumia " ndio nimemaliza"

Zile ndo zilikuwa text zangu za mwisho kumilik simu ile niliyopewa
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom