Umewahi kujiuliza haya maswali?

1. Mungu

ni nishati chanya inayopotikana kwenye kila kitu , ila kiuhalisia kama kiumbe hakuna Mungu.

2 .shetani

ni nishati hasi inayopatikana kwenye kila kitu , ikishirikiana na chanya ili kuleta balance kwenye kila hali.

3.Roho.

ni mnyumbuliko wa nishati kwenye kila maumbile ili kuleta nguvu na utashi katika maumbile husika.

4.Dini,

ni utaratibu na mfumo wa tamaduni fulani ,zilizowekwa ili kufanya mamlaka za kiserikali kuongoza jamii ,katika hofu fulani ili kutimiza matakwa za kisheria katika mawanda ya chini ya kiutambuzi , katika mfumo wa HOFU , AHADI NA KIFUNGO.

5. mwanadamu .

ni kiumbe alie jipambanua kwamba yeye ana utashi , maarifa, na mtawala kwa viumbe wote , katika mifumo ya kiserikali , kidini na nyanja mbalimbali ,bila kujali kuwa hata nyuki wana mifumo yao ya kuendesha maisha iliyo bora na ufanisi wa hali ya juu kabisa kuzidi hata binadamu.


6 Moto .

ni moja wapo ya nyenzo kuu ya Dini ili kuwezo kumtiisha binadamu mwenye utambuzi wa chini kutii mamlaka na sheria za kijamii.


7. Mbinguni.

pia ni nyenzo kubwa kabisa ya dini , kama Ahadi ili kuweza kumtiisha binadamu mwenye utambuzi wa chini ili kutii mamlaka na sheria za kijamii .

8 kifo.

Ni mwisho wa kiumbe chochote kile ,kuishi katika maumbile ya kimwili , katika kipindi fulani , ambapo viumbe hivi vikishafika mwisho katika maumbile ya kimwili vinaendeleza uhali katika mfumo wa nishati kwenye maumbile mengne, mchakato huu ni endelevu na unategemeana , uhai na kifo ndio maisha yenyewe .

9.Neno
"imani" linaweza kuwa na maana kadhaa kulingana na muktadha wake, lakini kwa ujumla, inaweza kumaanisha:

a Imani ya Kidini: Imani katika Mungu au nguvu za kiroho. Kwa mfano, imani ya Kikristo au ya Kiislamu.

b. Imani ya Kibinafsi: Kuamini kitu bila ushahidi wa moja kwa moja au bila kuona. Inaweza kumaanisha kuwa na imani katika uwezo wa mtu au jambo fulani.

c. Kujiamini: Kuwa na imani katika uwezo wako mwenyewe au uwezo wa wengine.

d Kuaminika: Kusema kuwa kitu ni cha kuaminika au kinasadikika.

Ili kuelewa maana kamili ya "imani" katika muktadha maalum, unahitaji kuzingatia jinsi neno hilo linavyotumiwa katika sentensi au muktadha husika.

1o Jehanam.

Neno "Jehanam" lina asili yake katika lugha ya Kiarabu. Katika lugha ya Kiarabu, "Jahannam" (جهنم) linamaanisha "Jehanamu" au "kuzimu." Neno hili linatumika katika lugha ya Kiarabu, pamoja na katika dini ya Kiislamu, kuelezea mahali pa adhabu kali ambapo waumini waovu na wenye dhambi wanaweza kujikuta baada ya kifo, kulingana na imani ya Kiislamu.

Jina "Jahannam" linaweza kufuatiliwa katika lugha ya Kiarabu na linahusiana na mifumo ya dini za Kiislamu na Kiaramu. Ni muhimu katika mafundisho ya dini ya Kiislamu kuhusu adhabu na malipo katika maisha ya baada ya kifo.

Pia ni nyenzo kuu katika dini kama KIFUNGO ili kufanya watu wenye utambuzi wa hali ya chini kufuata na kutii maamlaka ya jamii husika.
Bira shaka atakuwa amekuelewa mkuu
 
Habari wakuu!

Nafikiri kila mmoja hapa anachangamoto yake, poleni katika hayo, maisha ni lazima yaendelee tu
Ila leo nataka nijue niwangapi walishawahi kujiuliza haya maswali:

(1) Mungu ni nini?

(2)shetani ni nini?

(3) Roho ni nini?

(4,) Dini ni nini?

(5) Mwanadamu ni nini?

(6)Moto wakuchoma roho uko wapi

(7) Mbinguni ni wapi?

(8)Kifo ni nini?

(9) Imani ni nini?

(10)Jehanamu niwapi? (Mwisho kabisa

(10)MWANZO WA HAYO YOTE NI NINI?

Kama unajibu kamili kati ya maswali haya yote tunaombeni majibu jamani.

Asanteni
Una sh ngapi nikujibu
 
Kinachoendelea kwenye dunia ni movie.
Director ni Mungu.
Na hii movie imebeba categories zote
i. Action
ii. Drama
iii. Crime
iv. Thriller
v. Adventure
vi. War
vii. Romnace and Sex
viii. Horror

Sasa ukiwa mjinga, utakuwa jambazi

Tumia akili usidanganyike kizembe
Aisee kama una make sense hivi mkuu
 
Mungu, shetani, roho, dini, mbinguni, motoni vyote ni FICTIONS.

Hadithi za kutungwa, kusadikika na kufikirika.

Sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.
 
Habari wakuu!

Nafikiri kila mmoja hapa anachangamoto yake, poleni katika hayo, maisha ni lazima yaendelee tu
Ila leo nataka nijue niwangapi walishawahi kujiuliza haya maswali:

(1) Mungu ni nini?

(2)shetani ni nini?

(3) Roho ni nini?

(4,) Dini ni nini?

(5) Mwanadamu ni nini?

(6)Moto wakuchoma roho uko wapi

(7) Mbinguni ni wapi?

(8)Kifo ni nini?

(9) Imani ni nini?

(10)Jehanamu niwapi? (Mwisho kabisa

(10)MWANZO WA HAYO YOTE NI NINI?

Kama unajibu kamili kati ya maswali haya yote tunaombeni majibu jamani.

Asanteni
Kati ya maswali ambayo una haki ya kuwa huna majibu yake hadi kufikia muda huul ni #6. #7, #8, na #10 tu
Maswali mengine yaliyobaki ulistahili kuwa unajua majibu yake, angalau hata kwa kiwango ambacho si sahihi.

Wewe kukuosa majibu ya maswali hayo mengine yaliyobaki hadi kufikia muda huu, inaonyesha kuwa wewe wala hauishi na wala haujawahi kuishi ila uko sawa na mtu ambaye bado hajazaliwa yupo tumboni mwa mama yake
 
Kati ya maswali ambayo una haki ya kuwa huna majibu yake hadi kufikia muda huul ni #6. #7, #8, na #10 tu
Maswali mengine yaliyobaki ulistahili kuwa unajua majibu yake, angalau hata kwa kiwango ambacho si sahihi.

Wewe kukuosa majibu ya maswali hayo mengine yaliyobaki hadi kufikia muda huu, inaonyesha kuwa wewe wala hauishi na wala haujawahi kuishi ila uko sawa na mtu ambaye bado hajazaliwa yupo tumboni mwa mama yake
Nisawa tu ila pia mimi sijui roho ni nini unaweza kunsaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom