Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 872
Je umewahi kusafiri mikoa mingap Tanzania na ipi uliipenda zaidi na ipi uliichukia zaidi?
Tuletee Ramani ya Tanzania na mikoa Yake.View attachment 2705519
Je umewahi kusafiri mikoa mingap Tanzania na ipi uliipenda zaidi na ipi uliichukia zaidi?
most of the regions are still there na hata Km zilizoongezeka unazitaja tu Km Manyara, Njombe, Katavi, Geita but izo zingine bado zipo vile vileTuletee Ramani ya Tanzania na mikoa Yake.
Hiyo Ramani Yako ya mwaka 1997
Wete, Kaskazini PembaView attachment 2705519
Je umewahi kusafiri mikoa mingap Tanzania na ipi uliipenda zaidi na ipi uliichukia zaidi?
Kuzuri au?babu njombe babu.....ndo funga kazi
NB:kwangu mm lakini
Njombe kama ulaya..Arusha
Kilimanjaro
Da es Salaam
Dodoma
Morogoro
Iringa
Mbeya
Njombe
Kumbukumbu za Njombe zimegoma kabisa kufutika kichwani, nilipenda mandhari ya Njombe, miaka 6 sasa imepita tangu nitoke huko
Aisee nikipata muda, njombe nitapatembelea
Umelala?pole na usingizi
Morogoro pana uzuri gani jamani?1. Kilimanjaro ni home pazuri sana.
2. Arusha ni ujuaji mwingi na unakaa kwa tahadhari muda wote beto ni anytime saa mbili ikukute nyumbani au lodge yenye usalama 😁
3. Manyara pakawaida sana mzunguko wa pesa upo shambani ila amani ipo kiasi. Tatizo kuna mafisi sana, kuliwa na fisi ni anytime ukizubaa usiku hasa nje ya mji 😁
4. Tanga ni pazuri sana kuliko sehemu zote ila tatizo ni mzunguko wa pesa hakuna kabisa.
5.Dar es salaam mitikasi ni mingi.
6.dodoma pakawaida.
7.singida pamezubaa tu
8.morogoro pazuri ila pesa ipo.
9.Iringa pamepoa sana.
10. Kahama pesa ipo ila hali ya hewa chenga.
Dar fresh mbona...inategemea ulifikia wapiDar
Moro
Dom
Arusha
Mwanza
Singida.. hata sikupaelewa
Arusha imekuwa Fav city..
Mbona pako fresh?Umewahi fika Namanyere Nkasi?
Huko ni bora ughairi kuishi sio uambiwe ukae huko
Kufikia nini? Shule zangu zote nimesoma huko... sina ugeni na Dar, ila ndio sipaelewiDar fresh mbona...inategemea ulifikia wapi
Hapo number 8 Kuna mtu kaniambia mbona hakuna mzunguko wa pesa ?1. Kilimanjaro ni home pazuri sana.
2. Arusha ni ujuaji mwingi na unakaa kwa tahadhari muda wote beto ni anytime saa mbili ikukute nyumbani au lodge yenye usalama 😁
3. Manyara pakawaida sana mzunguko wa pesa upo shambani ila amani ipo kiasi. Tatizo kuna mafisi sana, kuliwa na fisi ni anytime ukizubaa usiku hasa nje ya mji 😁
4. Tanga ni pazuri sana kuliko sehemu zote ila tatizo ni mzunguko wa pesa hakuna kabisa.
5.Dar es salaam mitikasi ni mingi.
6.dodoma pakawaida.
7.singida pamezubaa tu
8.morogoro pazuri ila pesa ipo.
9.Iringa pamepoa sana.
10. Kahama pesa ipo ila hali ya hewa chenga.