Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,286
- 488
Hallo Wana JF,
Naomba kujua kutoka kwa yeyote yule Mwenye kujua kwa nn Nyoka hawadhuru Watoto.
Bibi yangu aliwahi kunisimulia visa Vingi vya Nyoka kukutwa akicheza na Mtoto. Na hakuna hata Mara Moja imeonyesha Mtoto kudhuriwa na Nyoka.
Nikamuuliza ni kwa nn, akanambia hiyo ni "NATURE/ASILI" Imeumbwa Hivyo. Ila akanipa tahadhari kuwa, Unapokutana na tukio kama Hilo ghafla Bin Vuu, Hutakiwi kupiga Kelele. Ukifanya hivyo basi hukasirika na Kumgonga Mtoto.
Akanambia kuwa vivyo hivyo nikimuona Nyoka akila Chakula kilichoachwa wazi au nikimuona Nyoka amekwea PiPa la Mbege huku akinywa Mvinyo ndani ya Pipa Basi Usije ukamshtua, kwani ukimshtua,hukasirika na kutemea huko Sumu.
Kwa yoyte mwenye uelewa Mpana naomba atupe elimu kuhusiana na jambo hili la kushangaza inakuwaje Nyoka amheshimu mtoto kiasi cha kucheza naye tu na kutokumdhuru!??
Nawakilisha kwenu wana Jf kwa ajili ya Upembuzi yakinifu.
Naomba kujua kutoka kwa yeyote yule Mwenye kujua kwa nn Nyoka hawadhuru Watoto.
Bibi yangu aliwahi kunisimulia visa Vingi vya Nyoka kukutwa akicheza na Mtoto. Na hakuna hata Mara Moja imeonyesha Mtoto kudhuriwa na Nyoka.
Nikamuuliza ni kwa nn, akanambia hiyo ni "NATURE/ASILI" Imeumbwa Hivyo. Ila akanipa tahadhari kuwa, Unapokutana na tukio kama Hilo ghafla Bin Vuu, Hutakiwi kupiga Kelele. Ukifanya hivyo basi hukasirika na Kumgonga Mtoto.
Akanambia kuwa vivyo hivyo nikimuona Nyoka akila Chakula kilichoachwa wazi au nikimuona Nyoka amekwea PiPa la Mbege huku akinywa Mvinyo ndani ya Pipa Basi Usije ukamshtua, kwani ukimshtua,hukasirika na kutemea huko Sumu.
Kwa yoyte mwenye uelewa Mpana naomba atupe elimu kuhusiana na jambo hili la kushangaza inakuwaje Nyoka amheshimu mtoto kiasi cha kucheza naye tu na kutokumdhuru!??
Nawakilisha kwenu wana Jf kwa ajili ya Upembuzi yakinifu.