Umewahi kuchangia damu salama?

Umewahi kuchangia damu salama?

Penguini

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
388
Reaction score
298
Uchangiaji wa damu kwa ajili ya kuwasaidia wagojwa ni huduma endekevu je umewahi kuchangia?

Na kama hujawahi kuchangia ni kwa nini?

Je serikali ingetangaza kwamba ukichangia damu unalipwa pesa, walau 100,000/ unadhani damu ingekuwa adimu?
1472883694390.jpg
 
kunakitu kinakera sana,unaenda na mgonjwa hospital unaambiwa damu ipo ila unatakiwa uchangie damu ili mgonjwa wako apewe damu. mara nyingi najiuliza damu tunayochangia inaenda wap? ushauri wangu kwa wahusika tusiwanyime wagonjwa damu kwa kigezo cha kutochangia damu...Mimi nshatoa damu na nawashauri watu tutoe damu ili kuokoa maisha ya wenzetu na nyie manesi mgonjwa akija mumpe dam bila masharti
 
Uchangiaji wa damu kwa ajili ya kuwasaidia wagojwa ni huduma endekevu je umewahi kuchangia?

Na kama hujawahi kuchangia ni kwa nini?

Je serikali ingetangaza kwamba ukichangia damu unalipwa pesa, walau 100,000/ unadhani damu ingekuwa adimu?View attachment 392686



!
!
Ya kwangu sichangii kwa sababu sina uhakika nayo. Kwa gemu nilizopiga za nyumunyumu au pekupeku aiseee wasije imwaga bure. Bora tu ikae ili inisukume sukume
 
!
!
Ya kwangu sichangii kwa sababu sina uhakika nayo. Kwa gemu nilizopiga za nyumunyumu au pekupeku aiseee wasije imwaga bure. Bora tu ikae ili inisukume sukume
Duh!
we jamaa, umetisha, usiridhike kuishi bila kujua damu yako ikoje!
 
Naogopa labda wanibebe mzobe mzobe na wakifika wanifunge kamba katani ile Nene nisije ikata na hapo wanaweza kunitoa damu yangu.
 
Damu Salama Mwenye Enzi Mungu awabariki, mlimsaidia sana baba yangu. .na sasa ni mzima. ...MOLA awabariki wafanya kazi wote wa taasisi hiyo....ASANTENI SANA
 
kunakitu kinakera sana,unaenda na mgonjwa hospital unaambiwa damu ipo ila unatakiwa uchangie damu ili mgonjwa wako apewe damu. mara nyingi najiuliza damu tunayochangia inaenda wap? ushauri wangu kwa wahusika tusiwanyime wagonjwa damu kwa kigezo cha kutochangia damu...Mimi nshatoa damu na nawashauri watu tutoe damu ili kuokoa maisha ya wenzetu na nyie manesi mgonjwa akija mumpe dam bila masharti
wakati mwingine unakuta damu ya mgonjwa wako haiendani na damu iliyoko stoo ya damu kimagroup, so inabidi ndugu aombwe kutoa.
au unakuta akiba ipo kidogo sana na huku mgonjwa wako hayupo serious sana na pia sio emergence case so inabidi akiba iachwe kwa ajili ya serious cases (mahututi) na ndugu ukaombwa/wakaombwa kujitolea damu nyingine kwa ajili ya mgonjwa wako
 
Watangaze tu.hata 50,000 sio mbaya.vya bure gharama.mbona dawa serikali inanunua?
 
Back
Top Bottom