mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
Huwa siwezi kutumia linux completely kwenye mashine yangu haiwezekani, hivyo huwa nafanya dual boot Kwa Linux na window 10, baada ya kuona mapungufu kadhaa ya VM, ila kuna kipindi Microsoft walitoa WSL ambayo ina version kadhaa nadhani zimefika mbili mpaka sasa.
Hii inasifika kwa kuwa na uwezo wa kuruhusu linux kuacceaa mafile direct kutoka kwenye window ukilinganisha na VM pia ina speed sana kulingana na maelezo ya wadau.
Sasa naomba kujua je ni nani anatumia au alishawahi kutumia WSL hapa JF either kudevelop software au matumizi mengi atoe feedback.
Mhariri Naomba badili kwenye title ongeza neno for kabla ya linux
Hii inasifika kwa kuwa na uwezo wa kuruhusu linux kuacceaa mafile direct kutoka kwenye window ukilinganisha na VM pia ina speed sana kulingana na maelezo ya wadau.
Sasa naomba kujua je ni nani anatumia au alishawahi kutumia WSL hapa JF either kudevelop software au matumizi mengi atoe feedback.
Mhariri Naomba badili kwenye title ongeza neno for kabla ya linux