miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Nisichopenda mimi hata miss chagga hapendi
Kwa mambo mabaya
Yani umenichekesha kweliiii
Ungejutia kwa uamuzi wakoBado hapo mwenye makosa ni wewe. Kwa nini ugawe gawe namba kwa wanaume?na kwa nini upige stori na wanaume usiku? Angalia kuna wanaume wanamaneno matamu sana ukimpa nafasi ya kumsikiliza tu utamegwa . Serious!!!
Na una hatari sana unaongea na wanaume usiku hadi kufikia hatua ya kuulizwa kua umevaa nini na tena sio mwanaume mmoja ni wanaume according to your thread.
In short kama una BF ana kazi sana. Kama ningekuwa mimi.. Ningewalk away.
nimevaa rangi ya udongo mfinyazi
Nisichopenda mimi hata miss chagga hapendi
Bado hapo mwenye makosa ni wewe. Kwa nini ugawe gawe namba kwa wanaume?na kwa nini upige stori na wanaume usiku? Angalia kuna wanaume wanamaneno matamu sana ukimpa nafasi ya kumsikiliza tu utamegwa . Serious!!!
Na una hatari sana unaongea na wanaume usiku hadi kufikia hatua ya kuulizwa kua umevaa nini na tena sio mwanaume mmoja ni wanaume according to your thread.
In short kama una BF ana kazi sana. Kama ningekuwa mimi.. Ningewalk away.
ananichunguliaga
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?
Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?
Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?
Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?
Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu
Kavaaa kaniki
Unataka nn kwa Mke Wa MTU?
Hakyamungu ntammwaga kinyesi mtu
Ungejutia kwa uamuzi wako
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?
Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?
Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu
Ha ha ha ha! Umenipa kazi ya kuuliza rangi ya huu udongo kule kwetu Old Moshi.
punguza hasira baby,,... unataka nikushike wapi?Kavaaa kaniki
Unataka nn kwa Mke Wa MTU?
Hakyamungu ntammwaga kinyesi mtu