Na tuko karibu so hakuna kisingizioπ€£Tayari mbona hapo wanasubiri kufanya intro za gusanisha hasi na chanya πππ
πππ hilo balaaNdiwoo πππ
Me ntalea tyuu!! Mnipe pesa za cerelac za kutosha ππππ€£π€£π€£ nimecheka .
Nitakuletea tusaidiane kulea πππππππ
π utalamba yote hiyoMe ntalea tyuu!! Mnipe pesa za cerelac za kutosha πππ
π€£π€£π€£π€£ Mkitoka hapo baada ya mwezi nianze kukuletea udongo na tuembe tubichiChecheeeeeeeeeeeeee zitoke, motooo π₯
Kalikomoe papa mshkunda πππHamna kuchelewa,na vile nimetoka kifungoni ndio kabisa π€£
πππEeeh, lazima hiyoπ
π€£π€£π€£π€£ unajua una uchizi weweKalikomoe papa mshkunda πππ
Kaka yangu hana shida, atakuwa yupo busy tu ila akimaliza hekaheka zake atakutafuta kiroho safi..!!Thank you my wii πππππ
Jamani napendwa me
Ila sijui km itapanda bro ako hapokei simu wifi!!!π
π€£π€£π€£π€£ hivi kwanini huwa wanatamani kula hivi vitu?π€£π€£π€£π€£ Mkitoka hapo baada ya mwezi nianze kukuletea udongo na tuembe tubichi
Ss hivi atakuja, alikumiss sana.Na tuko karibu so hakuna kisingizioπ€£
πππ kama ulijua vileSs hivi atakuja, alikumiss sana.
Muda wote ananisumbua nikuite πππ
πππ ipo km biscuitπ utalamba yote hiyo
π€£π€£π€£ mimi ndio ilikuwa kazi yangu hiyoπππ ipo km biscuit
Kuna sister alijifungua sasa akawa na shida maziwa hayatoki, bas tukawa tunampa mtoto hiyo cerelac weee!! Tunasaidizana matumizi!!
Nilikuwa nailamba muda wote π€£π€£π€£
Unamtetea? πππKaka yangu hana shida, atakuwa yupo busy tu ila akimaliza hekaheka zake atakutafuta kiroho safi..!!
Wasiwasi ndiyo akili, ila kwake usiwe nao..!!
Alikomeshe haswaaa!! ππππ€£π€£π€£π€£ unajua una uchizi wewe
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Alikomeshe haswaaa!! πππ
Siku nyingine lisirudie kukimbia kipindi
Beba afu tutajua kwanini ππππ€£π€£π€£π€£ hivi kwanini huwa wanatamani kula hivi vitu?