Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Aunt 🤣🤣🤣🤣
 
Aliyenisafishia miwani yangu leo, ana nafasi yake peponi maana nawaona Wajukuu live


Vijana ambao hamjaoa leteni ng'ombe, Babu yenu nimekuza Mjukuu 😜
Mjukuu wako nimekonda nimebaki mifupa tu
Makongoro haya hapa🤣🤣🤣
 
Yaani hata aibu hana
Kanawachanganyia maneno wee
Wanagombana halafu mwenyewe anapita kama haoni wakati ndo mbea namba moja wa kugonganisha maneno

Mbaya zaidi ni mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi haya si yalishaisha kila mtu tuko na mambo yake lakini Kuna wanaogombana na kurushina maneno hapa????
Nyie ndio mnaoenda kuharibu uzi sasa kama limewakaba fungulieni uzi hukooo mchambeeeee muongeee tani yenuu🐒
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…