Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,827
- 236,131
Lol nilitingwa cousin yanii Hapa ndo naamka nifanyie favor pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!Tayari nmetupia ulikuwa wapi
Sijaona jamaniiii! Irudiweee irudiweee please!Antonnia binti kiziwi sirudiiiπ€£
Usijareee babuuuu tunapenda uvochangamka hata uzi unachangamka piaa!Mniwie radhi, Jana wajukuu zangu walinichanganyia Smart Gin kwenye Mbege yangu maana nilijikuta ghafla nakumbuka enzi za Ujana miaka ile ya 1956 π
Mnaniua mbavuuu balaa hukuuuπ€£π€£π€£π€!Oyaaa π€£ π€£ π€£ Imeenda hiyo. Midomo yetu ikome
Usijareee kabisa babuuuuu wewe tenaaa!Nimekaa muda mrefu kusubiri pilau la Krismasi kutoka kwako bila mafanikio
Basi fanya uniletee hata beer nilewe leo ππ
Heri ya Krismasi kwako pia Mjukuu π€
Nmeshatupia tayari angalia huko juu juuLol nilitingwa cousin yanii Hapa ndo naamka nifanyie favor pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!
Mbona mepitia hata sijaiona cousin au ushaifuta??Nmeshatupia tayari angalia huko juu juu
I'm honoured to have that special treatmentUsijareee kabisa babuuuuu wewe tenaaa!
Utakula utakunywa taniii yakooo!
Amen Mjukuu πUsijareee babuuuu tunapenda uvochangamka hata uzi unachangamka piaa!
Aamin aamin babuu ushabariki jf ninani hata wakupinge???π€£ππ€ !I'm honoured to have that special treatment
Nakuhaidi zile ekari 25 za mashamba lazima nikurithishe wewe Mjukuu π€
Muwe na mapumziko mema wewe na Mkwe wangu huko Mlipo
Aamin aamin babuu ushabariki jf ninani hata wakupinge???π€£ππ€ !I'm honoured to have that special treatment
Nakuhaidi zile ekari 25 za mashamba lazima nikurithishe wewe Mjukuu π€
Muwe na mapumziko mema wewe na Mkwe wangu huko Mlipo
Kama mnavyofahamu Wakibarikicho Wazee hakuna wa kukilaaniAamin aamin babuu ushabariki jf ninani hata wakupinge???π€£ππ€ !
Holiday iko njema kabisa chini ya Smart911
Watoto ni baraka babuu usijali limeisha hilo!Kama mnavyofahamu Wakibarikicho Wazee hakuna wa kukilaani
Muwe na Mapumziko mema huko, ila Mkumbushe Mkwe kuwa Babu yenu nahitaji kumuona Kitukuu kingine, yule ameshakuwa
Fanyeni mpango likizo ijayo mniletee Kitukuu niwe nacheza nako.
Amen Mjukuu, msisahau na ule ugoro wanguWatoto ni baraka babuu usijali limeisha hilo!
Usijareee kabisa babuuuuu wewe tenaaa!
Utakula utakunywa taniii yakooo!